Kauli ya Simba ya ‘Tunajenga Timu’ lengo ni kuwapumbaza wasiojielewa

Kauli ya Simba ya ‘Tunajenga Timu’ lengo ni kuwapumbaza wasiojielewa

Kwani yanga na azamu Nazo no tishio, azam anamtishia nani?
Takwimu mm si kitu nachokithamini Sana Naamini katika current performance,Huoni Al hilal kampita Yanga japo kiubora kamzidi kwa CAF....au mfano NBC ni Bora kuliko PSL ya Afrika kusini ila ukitoa Simba ,Yanga na Azam bongo hatuna Timu tishio ya kusumbua ila sauzi wanazo nyiingi tu
 
Man U ana kila aina ya kombe we unaishi katika historia gani?
We ndio hujanielewa...Yaani mm namaanisha hivi Man U walifanyaga vzr tuseme 2005,wao wanatembelea historia Ile Ile mpaka Leo 2025 badala ya kubadilisha mbinu ili kuweza kufanikiwa zaidi...Au nikupe mfano Man U ya msimu huu big match anacheza kama fainali ila akikutana na midrange Teams anabomoka Sana Tu kwann?,Sababu Hana strategies anataka awe wapi mwisho WA msimu yaani achezeje game zake mfano huu nauleta kwa Simba wao malengo yao kwa miaka Mitano ni kufikia Nusu fainali ila wakitolewa robo fainali wanalia kwl kwl ukidhani hawa watajipanga msimu ujao,wakianza msimu wanarudia makosa Yale Yale badala ya kutafuta njia ya ziada kuvuka Hapo alipo... Naamini Umenielewa mkuu
 
We ndio hujanielewa...Yaani mm namaanisha hivi Man U walifanyaga vzr tuseme 2005,wao wanatembelea historia Ile Ile mpaka Leo 2025 badala ya kubadilisha mbinu ili kuweza kufanikiwa zaidi...Au nikupe mfano Man U ya msimu huu big match anacheza kama fainali ila akikutana na midrange Teams anabomoka Sana Tu kwann?,Sababu Hana strategies anataka awe wapi mwisho WA msimu yaani achezeje game zake mfano huu nauleta kwa Simba wao malengo yao kwa miaka Mitano ni kufikia Nusu fainali ila wakitolewa robo fainali wanalia kwl kwl ukidhani hawa watajipanga msimu ujao,wakianza msimu wanarudia makosa Yale Yale badala ya kutafuta njia ya ziada kuvuka Hapo alipo... Naamini Umenielewa mkuu
Hapo ndo nimekuelewa mkuu
 
[emoji3]Nakupa mfano Arsenal kampiga city Leo 5,ila Watu WA mpira tunaona arsenal ni kama jua haeleweki anataka nini maana atamaliza msimu bila kombe hayo ni mawazo yangu


-Narudi kwa Simba kama hufahamu target ya Simba miaka yote Mitano ilikuwa kufikia Nusu fainali ya Mashindano ya CAF hajawai fika hata bahati mbaya,Msimu huu kaongoza shirikisho si Jambo geni maana Yanga alishafanya hivo ila anapofeli ni pale pale anatumia Takwimu za nyuma kama Mafanikio wakati ni daraja ,sitashangaa mm Simba akiishia Nusu fainali maana Hana maajabu akikutana na Mtu mwenye Kasi au technical football shika maneno yangu
[emoji38][emoji38] tekniko football au sio
 
Umrongea vice versa
Mshindi wa kwanza na wa pili wa ligi walishaaga michuano kimataifa,Simba anaelekea fainali na anaongoza kundi
Yanga katoka juzi tu kwenye hizo finali ambazo ndio ndoto ya Simba msimu huu, hata hivyo Simba hawezi kuingia finali.
 
Takwimu mm si kitu nachokithamini Sana Naamini katika current performance,Huoni Al hilal kampita Yanga japo kiubora kamzidi kwa CAF....au mfano NBC ni Bora kuliko PSL ya Afrika kusini ila ukitoa Simba ,Yanga na Azam bongo hatuna Timu tishio ya kusumbua ila sauzi wanazo nyiingi tu
Kupima, current perfomance inategemea takwimu boss. Unaposema Africa kusini ligi ni bora ni takwimu hizo. Au?
 
😀Nakupa mfano Arsenal kampiga city Leo 5,ila Watu WA mpira tunaona arsenal ni kama jua haeleweki anataka nini maana atamaliza msimu bila kombe hayo ni mawazo yangu


-Narudi kwa Simba kama hufahamu target ya Simba miaka yote Mitano ilikuwa kufikia Nusu fainali ya Mashindano ya CAF hajawai fika hata bahati mbaya,Msimu huu kaongoza shirikisho si Jambo geni maana Yanga alishafanya hivo ila anapofeli ni pale pale anatumia Takwimu za nyuma kama Mafanikio wakati ni daraja ,sitashangaa mm Simba akiishia Nusu fainali maana Hana maajabu akikutana na Mtu mwenye Kasi au technical football shika maneno yangu
Kwani yanga fainali kafika Jana,SI katolewa juzu tu mabingwa au hayo sio mafanikio ya nyuma.Au kwako nyuma ni nini?
 
Back
Top Bottom