Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
We una kombe gani zaidi ya zile shanga mlizovishwa na motsepe mnaringa nazo maungoni mwenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We una kombe gani zaidi ya zile shanga mlizovishwa na motsepe mnaringa nazo maungoni mwenu?
😀Mm kama shabiki WA mpira hii game tulikubali tumefungwa no malalamikoLamba asali ya ms b kalale View attachment 3222799
wewe ambaye ni hatari kimataifa upo wapi muda huuSimba naona ni Tim tishio hapa ndani Tu ila si hatari hivo kimataifa
Sawa dada yanguZaidi ya shanga mlizohongwa na motsepe mna nini huko kimataifa View attachment 3222802
Takwimu mm si kitu nachokithamini Sana Naamini katika current performance,Huoni Al hilal kampita Yanga japo kiubora kamzidi kwa CAF....au mfano NBC ni Bora kuliko PSL ya Afrika kusini ila ukitoa Simba ,Yanga na Azam bongo hatuna Timu tishio ya kusumbua ila sauzi wanazo nyiingi tu
We ndio hujanielewa...Yaani mm namaanisha hivi Man U walifanyaga vzr tuseme 2005,wao wanatembelea historia Ile Ile mpaka Leo 2025 badala ya kubadilisha mbinu ili kuweza kufanikiwa zaidi...Au nikupe mfano Man U ya msimu huu big match anacheza kama fainali ila akikutana na midrange Teams anabomoka Sana Tu kwann?,Sababu Hana strategies anataka awe wapi mwisho WA msimu yaani achezeje game zake mfano huu nauleta kwa Simba wao malengo yao kwa miaka Mitano ni kufikia Nusu fainali ila wakitolewa robo fainali wanalia kwl kwl ukidhani hawa watajipanga msimu ujao,wakianza msimu wanarudia makosa Yale Yale badala ya kutafuta njia ya ziada kuvuka Hapo alipo... Naamini Umenielewa mkuuMan U ana kila aina ya kombe we unaishi katika historia gani?
Azam ana kauwezo kidogo kakubattle kimataifa tofauti na timu nyingine yoyote hapa Tanzania kwa kauwezo WA sasa..Yanga sihitaji kuwaelezaKwani yanga na azamu Nazo no tishio, azam anamtishia nani?
Chomoa huo mwiko wa tabora ulaleSawa dada yangu
Nimeishia makundi , Shirikisho nilifika fainali vunja historia yangu ndio tuongeewewe ambaye ni hatari kimataifa upo wapi muda huu
Hapo ndo nimekuelewa mkuuWe ndio hujanielewa...Yaani mm namaanisha hivi Man U walifanyaga vzr tuseme 2005,wao wanatembelea historia Ile Ile mpaka Leo 2025 badala ya kubadilisha mbinu ili kuweza kufanikiwa zaidi...Au nikupe mfano Man U ya msimu huu big match anacheza kama fainali ila akikutana na midrange Teams anabomoka Sana Tu kwann?,Sababu Hana strategies anataka awe wapi mwisho WA msimu yaani achezeje game zake mfano huu nauleta kwa Simba wao malengo yao kwa miaka Mitano ni kufikia Nusu fainali ila wakitolewa robo fainali wanalia kwl kwl ukidhani hawa watajipanga msimu ujao,wakianza msimu wanarudia makosa Yale Yale badala ya kutafuta njia ya ziada kuvuka Hapo alipo... Naamini Umenielewa mkuu
[emoji38][emoji38] tekniko football au sio[emoji3]Nakupa mfano Arsenal kampiga city Leo 5,ila Watu WA mpira tunaona arsenal ni kama jua haeleweki anataka nini maana atamaliza msimu bila kombe hayo ni mawazo yangu
-Narudi kwa Simba kama hufahamu target ya Simba miaka yote Mitano ilikuwa kufikia Nusu fainali ya Mashindano ya CAF hajawai fika hata bahati mbaya,Msimu huu kaongoza shirikisho si Jambo geni maana Yanga alishafanya hivo ila anapofeli ni pale pale anatumia Takwimu za nyuma kama Mafanikio wakati ni daraja ,sitashangaa mm Simba akiishia Nusu fainali maana Hana maajabu akikutana na Mtu mwenye Kasi au technical football shika maneno yangu
Una utani ni Utopolo ?Simba naona ni Tim tishio hapa ndani Tu ila si hatari hivo kimataifa
Yanga katoka juzi tu kwenye hizo finali ambazo ndio ndoto ya Simba msimu huu, hata hivyo Simba hawezi kuingia finali.Umrongea vice versa
Mshindi wa kwanza na wa pili wa ligi walishaaga michuano kimataifa,Simba anaelekea fainali na anaongoza kundi
Kupima, current perfomance inategemea takwimu boss. Unaposema Africa kusini ligi ni bora ni takwimu hizo. Au?Takwimu mm si kitu nachokithamini Sana Naamini katika current performance,Huoni Al hilal kampita Yanga japo kiubora kamzidi kwa CAF....au mfano NBC ni Bora kuliko PSL ya Afrika kusini ila ukitoa Simba ,Yanga na Azam bongo hatuna Timu tishio ya kusumbua ila sauzi wanazo nyiingi tu
Alimradi tumeelewana Tu mKuu mambo yasiwe meengKupima, current perfomance inategemea takwimu boss. Unaposema Africa kusini ligi ni bora ni takwimu hizo. Au?
Kwani yanga fainali kafika Jana,SI katolewa juzu tu mabingwa au hayo sio mafanikio ya nyuma.Au kwako nyuma ni nini?😀Nakupa mfano Arsenal kampiga city Leo 5,ila Watu WA mpira tunaona arsenal ni kama jua haeleweki anataka nini maana atamaliza msimu bila kombe hayo ni mawazo yangu
-Narudi kwa Simba kama hufahamu target ya Simba miaka yote Mitano ilikuwa kufikia Nusu fainali ya Mashindano ya CAF hajawai fika hata bahati mbaya,Msimu huu kaongoza shirikisho si Jambo geni maana Yanga alishafanya hivo ila anapofeli ni pale pale anatumia Takwimu za nyuma kama Mafanikio wakati ni daraja ,sitashangaa mm Simba akiishia Nusu fainali maana Hana maajabu akikutana na Mtu mwenye Kasi au technical football shika maneno yangu