Kauli ya Tanzania kuingia uchumi wa kati Dr Philip Mpango wakati huo ulikuwa waziri wa Fedha, imeishia wapi ?

Hukumuelewa.alimaanisha ikulu imezinduliwa ambapo kipindi inaanza kujengwa tulikuwa uchumi wa kati na kwa sasa tumerudi tena kwenye nchi masikini zaidi duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…