Yaliyomkuta Noriega Miaka ya 80Hii kauli ya " patachimbika" au " hapatatosha" mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu amekuwa akiirudia mara kwa mara na sijawasikia NEC wakisema chochote.
Je ni msamiati wa kisheria au ni mkwara kama mikwara mingine ya vijiweni?
Ufafanuzi Tafadhali, amani ni tunu ya taifa.
Maendeleo hayana vyama!
Yaliwahi kuwakuta Akina samwel Doe
Yakamkuta ghadafi, sadam, na Gbagbo
Juzi yalimkuta Mugabe,
Jana yememkuta albashiri