Kauli ya Tundu Lissu kwamba kama akishinda asipotangazwa mshindi " Patachimbika", anamtisha nani na anamaanisha nini?

Yaliyomkuta Noriega Miaka ya 80

Yaliwahi kuwakuta Akina samwel Doe
Yakamkuta ghadafi, sadam, na Gbagbo

Juzi yalimkuta Mugabe,

Jana yememkuta albashiri
 
Ivi kama mna nguvu na mnalubalika vipi mnaogopa uwepp wa tume huru?? Mbwa kwelikweli nyie
Mitaa gani? Msalala nzima wanamgombea wa udiwani Kakola. Segese yote Ccm tu. Mnadanganya anapoteza pesa na muda.
 
Lisu hawezi kushinda ... asidanganywe na ule umati wengi kura hawatipiga pili lowassa alikuwa na nyomi kushinda lile
 
Utajua tarehe 29/10/2020.
 

Hizo ni propaganda za kutaka kuwaaminisha Watanzania kwamba atashinda japokuwa kwa nafsi yake anajua atapigwa chini iwa tofauti kubwa ya Kura na JPM.

Anataka kuleta machafuko kutokana na support anayopewa na Mataifa ya Kigeni na Mabeberu ambao wanamfadhili kwenye kampeni zake.
 

Amani ni blanketi la kuwalaza wapinzani waendelee kuwa makondoo kwa kunyamaza pindi wanapodhulumiwa kwenye box la kura.
 
Unajadili tokeo (Kuchimbika)badala ya kisababishi (Uhuni wa Wizi wa Kura )
Pathetic
 
Lissu uchaguzi huu kaachiwa uhuru basi anajiona yeye ndo mungu subiri uchaguzi uishe atakua mtu wa kuriport mahakamani JPM anamsoma tu tabia yake uraisi kwa Lisu ni kuatu kikubwa sana
Mmeona eeh,kumbe huwa ni matakwa ya JPM kuwashurutisha wapinzani!😁😁
 
Huu ni mkwara mbuzi kama ilivyo mikwara mingine yoyote toka hicho chama na viongozi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…