Kauli ya Tundu Lissu kwamba Wafanyabiashara wa Kariakoo wagome hadi Rais Samia aje kuwasikiliza si ya kizalendo

Kauli ya Tundu Lissu kwamba Wafanyabiashara wa Kariakoo wagome hadi Rais Samia aje kuwasikiliza si ya kizalendo

Kama ni kweli TunduLissu kayasema haya inawezekana maumivu ya maoperations na ganzi nyingi zimemharibu ubongo! Hapa wa kualumiwa ni marehemu bashite sio Lissu.
 
Hasira za kutojumuishwa kwny Kamati ya maridhiano hizi wala kupewa update ya kinachoendelea
 
Back
Top Bottom