Kauli ya Tundu Lissu kwamba Wafanyabiashara wa Kariakoo wagome hadi Rais Samia aje kuwasikiliza si ya kizalendo

Ukiwaona Watu hawataki kuonana na Mawaziri wa kisekta yaani Kijaji, Mwigulu na Angela na badala yake wanamtaka Rais Samia ujue tatizo ni kubwa sana!

Bado hujatoa way forward nn kifanyike au nn kingefanyika
 
Kama ni kweli TunduLissu kayasema haya inawezekana maumivu ya maoperations na ganzi nyingi zimemharibu ubongo! Hapa wa kualumiwa ni marehemu bashite sio Lissu.
 
Hasira za kutojumuishwa kwny Kamati ya maridhiano hizi wala kupewa update ya kinachoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…