Kauli ya "Unanijua mimi ni nani?" imerudi

Kauli ya "Unanijua mimi ni nani?" imerudi

misimajumbasita

Senior Member
Joined
Jun 10, 2018
Posts
157
Reaction score
273
Siipendi hii kauli narudia tena siipendi hii kauli

Ni wazi sasa usemi huu umerudi kwa kasi ya ajabu.

Unanijiua mimi ni nani ni kauli ilio ilio jizolea umaarufu sana kwenye tawala nyingi sana lakini si awamu ya tano (JPM alihakikisha mwenye cheo hamnyanyasi mwenye hana cheo)

Kauli hii imekua ikitumika sana kuwaonea wanyonge, kuwashambulia wanyonge na kuzua taharuki kwa wanyonge kuwatishia wanyonge

Kauli hii ni imejawa na ukosefu wa nidhamu kwa anae itumia na inakera mno.

Naomba mamlaka husika turejee nini? au tufuatishe nin kilifanyika awamu ya tano mpaka kauli hii ikawa sio tumivu.
 
Ni kauli mbya inazua hofu kwan unawaza huyu ndie alex koroso nini[emoji1787][emoji1787]

Wimbi la majina mapya:

IMG_20210718_072800_234.jpg


Pori jipya nyani wale wale.
 
Sipendi hiyo kauli ya kuita watu wanyonge narudia tena sipendi sana.

Mnyonge ni goigoi, asiye na kitu, sio hana kitu tu bali hawezi kufanya kitu kujilinda anategemea mtu mwingine asie mnyonge.

Mwendazake aliwapa sumu kali sana ya kuwaita nyie wanyonge. Sema tu mtu wa kipato cha chini/ kati sio mnyonge bna hii ni dharau.
 
Ajenda iwe unajijua mimi nani?sio wanyonge
Wewe kauli hii ukiambiwa hua unajisikiaje
Napata ujasiri usio na kifani,yaani ukipata bahati nikuhoji " namimi unanijua ni Nani?" Shukuru MUNGU! Maana naweza nikakumwagia MAKOFI yakutosha TU!!!
 
Sipendi hiyo kauli ya kuita watu wanyonge narudia tena sipendi sana.

Mnyonge ni goigoi, asiye na kitu, sio hana kitu tu bali hawezi kufanya kitu kujilinda anategemea mtu mwingine asie mnyonge.

Mwendazake aliwapa sumu kali sana ya kuwaita nyie wanyonge. Sema tu mtu wa kipato cha chini/ kati sio mnyonge bna hii ni dharau.

Sawa @Vishu Mtata hapo kwenye mnyonge weka mtu mwenye kipato cha chini then ndio tuijadili hii kauli kama inafaa kwa matumizi
 
Kuna kadada kalipaki gar barabaran akashuka kwenda dukan kweny hz njia za mtaan uswahilin sasa akawa ameziba njia, Nkashuka kumwambia toa gar yak na wngne tupite tunacheleweshana akaanza kuniambia "unanifokea unanijua mim ni nani?" Nlipata hasira nikamjibu we ni malaya kama malaya wengine
Akatoa sim mfukon akapga sjui wap huko kumbe anafanya kaz tu halmshauri, sasa muda huo anahangaika kupiga sim gar zngne zkawa znaongezeka na yeye ndo kazuia njia kisa ananiblock mm nisipite il nije kukamatwa akaniambia "subir hapohapo nikunyooshe ukalale lockup" nikamuongezea tusi we ni malaya tu piga sim popote akaanza kulia
Wadau wengne walivyowaka ili afungue njia akajidai anachukua namba yang ya gar ila Moto tulio muashia ilibd atoe gar tupite na had leo hakuna kitu nilichowahi kufanywa wala hata kukamatwa licha ya kua alichukua namba ya gari
Yan wote n wa tz alaf unakuta mtu anajidai wa thamani kuliko wengine huo mi ungese nlitaman aniletee mdomo nimzibue na makofi juu
 
Tumepishana miaka miwili nyani mwenzangu sisi niwale wale naungana na wewe

Miaka 2 nyani wewe umeandika mara 28 zikiwamo ngapi za leo?

Wewe si wa mwanzo wimbi hili #3 delta limeonekana siku za karibuni.

Hiiiiii bagosha
 
Miaka 2 nyani wewe umeandika mara 28 zikiwamo ngapi za leo?

Wewe si wa mwanzo wimbi hili #3 delta limeonekana siku za karibuni.

Hiiiiii bagosha

Kwanini huezi kukaa kwenye ajenda ya kauli wewe chaka lako nimeendaika mara ngap unapenda umaarufu wa kijinga sio wote tupo na muda wa kuandika humu tafuta shuhuli zingine
 
Miaka 2 nyani wewe umeandika mara 28 zikiwamo ngapi za leo?

Wewe si wa mwanzo wimbi hili #3 delta limeonekana siku za karibuni.

Hiiiiii bagosha

Tutakuona kwenye tuzo za jf kwa uandikiji wako mashuhuli
 
Back
Top Bottom