Kauli ya "Unanijua mimi ni nani?" imerudi

Kauli ya "Unanijua mimi ni nani?" imerudi

Uzuri wa Mwendazake unasakwa kwa kutumia Hadubini.
 
Uzuri wa Mwendazake unasakwa kwa kutumia Hadubini...

Sina hakika kama kina Ben, Azory, Mawazo, wa kwenye viroba nk wakiwamo ndugu na jamaa zao wanaweza kuwa na maneno mazuri sana kwa huyo bwana.

Mambo ya legacy yalisha gonga ukuta.
 
Kwanini huezi kukaa kwenye ajenda ya kauli wewe chaka lako nimeendaika mara ngap unapenda umaarufu wa kijinga sio wote tupo na muda wa kuandika humu tafuta shuhuli zingine

Legacy? Labda utuambie kwanza nani walikiwa kwenye viroba?

Wako wapi kina Ben na akina Azory?

Nani waliwauwa kina Akwilina?

Angalau tuanzie hapo kwanza.
 
Kuna kadada kalipaki gar barabaran akashuka kwenda dukan kweny hz njia za mtaan uswahilin sasa akawa ameziba njia, Nkashuka kumwambia toa gar yak na wngne tupite tunacheleweshana akaanza kuniambia "unanifokea unanijua mim ni nani?"...
Ungemwambia vingine tu mzee[emoji16]
 
Sipendi hiyo kauli ya kuita watu wanyonge narudia tena sipendi sana.

Mnyonge ni goigoi, asiye na kitu, sio hana kitu tu bali hawezi kufanya kitu kujilinda anategemea mtu mwingine asie mnyonge.

Mwendazake aliwapa sumu kali sana ya kuwaita nyie wanyonge. Sema tu mtu wa kipato cha chini/ kati sio mnyonge bna hii ni dharau.
Tunaomba chanzo cha hii tafsiri yako mkuu. Kama chanzo ni wewe mwenyewe pia useme.
 
Sina hakika kama kina Ben, Azory, Mawazo, wa kwenye viroba nk wakiwamo ndugu na jamaa zao wanaweza kuwa na maneno mazuri sana kwa huyo bwana.

Mambo ya legacy yalisha gonga ukuta.

Jambo sio legecy mm napinga matumizi kauli ya unanijua mimi ni nani tu mambo ya siasa sio ya kwangu
Njoo kwa ushauri ya maswala ya urembo na fashion
 
Legacy? Labda utuambie kwanza nani walikiwa kwenye viroba?

Wako wapi kina Ben na akina Azory?

Nani waliwauwa kina Akwilina?

Angalau tuanzie hapo kwanza.

Anzisha uzi wako uwaulizie hao sijui ni wanamichezo au wananisiasa na kama walisha kufa kwann ukumbushe wafiwa kidonda kilicho kua kimepona
Changia mada ya matumizi ya unanijua mimi ni nani kama hujawai kutano nayo basi pita kimya kinya
 
Jambo sio legecy mm napinga matumizi kauli ya unanijua mimi ni nani tu mambo ya siasa sio ya kwangu
Njoo kwa ushauri ya maswala ya urembo na fashion

Wewe ndiye uliyepokonywa uwakilishi miss world? Kama ndivyo komaa kivyako vyako.

Wengine tumeporwa ndugu zetu walikuwa binadamu tu kama wewe, mimi au yule.

Yule bwana dhwalimu tutamnanga hapa na tutamnanga huko.

Wako wapi kina Azory? Wako wapi kina Ben? Nani walikuwa kwenye viroba? Nani aliwaweka kwenye viroba? Nani alimwua Akwilina?

Kama majibu unayo tupe.
 
Tunaomba chanzo cha hii tafsiri yako mkuu. Kama chanzo ni wewe mwenyewe pia useme.
Soma hapo.
Siku nyingine ukiitwa mnyonge usichekelee tu, unadumazwa mkuu.
Unawekwa sawa kiakili ili utawaliwe vizuri bila matata.

Screenshot_20210718-080243.png
 
Anzisha uzi wako uwaulizie hao sijui ni wanamichezo au wananisiasa na kama walisha kufa kwann ukumbushe wafiwa kidonda kilicho kua kimepona
Changia mada ya matumizi ya unanijua mimi ni nani kama hujawai kutano nayo basi pita kimya kinya

Uzi wowote wa legacy ya huyo bwana bila majibu kwa waliopotea au kufa lazima ukumbushwe kutoa majibu. Wajibu huo utakuwa siku zote.

Vumilia tu mkuu. Ukianzisha mwingine ni wajibu wetu kukumbusha.

Ni hayo tu.
 
Uzi wowote wa legacy ya huyo bwana bila majibu kwa waliopotea au kufa lazima ukumbushwe kutoa majibu. Wajibu huo utakuwa siku zote.

Vumilia tu mkuu. Ukianzisha mwingine ni wajibu wetu kukumbusha.

Ni hayo tu.

Pole sana mkuu inaonekana umeumizwa sana na awamu ya tano
Ebu tuelezee ufaaji kwako wa hii kauli ya unanijua mimi nani
Kesho nitaanzisha thread ya wako wapi watu wako nitakutag
Uchangie
 
Partly uko sahii. Hongera.

Ila sasa naamini kwamba Watanzania wengi ni wavivu wa kusoma. Yani tunategemea sana mitandao, kila kitu tuna-google na hatudadisi any further.

Mkuu, msamiati 'mnyonge' ni subjective. Wala siyo msamiati wenye maana moja kama unavyojaribu kutuaminisha na hiyo wikipedia inayoandikwa na wahuni.

Neno hilo lina maana zaidi ya moja. Tafuta vyanzo vya kuaminika kama Kamusi ya Lugha fasaha ya Kiswahili. Lakini neno 'mnyonge' lina maana nyingine kabisa Kibiblia (kwa sisi Wakristo).

Asante. Nikutakie j2 njema.
 
Uzi wowote wa legacy ya huyo bwana bila majibu kwa waliopotea au kufa lazima ukumbushwe kutoa majibu. Wajibu huo utakuwa siku zote.

Vumilia tu mkuu. Ukianzisha mwingine ni wajibu wetu kukumbusha.

Ni hayo tu.

Lakin kumbuka hakuta kua na kifutio cha legacy ya mwendazake hata mama nae ataacha legecy ambayo haina kifutio ukae kwa kutulia punguza mihemko
Na hata ukitokea ww kuja kua kiongoz vile vile legacy haitafutika
Kama una andika andika haya maneno yangu
 
Partly uko sahii. Hongera.

Ila sasa naamini kwamba Watanzania wengi ni wavivu wa kusoma. Yani tunategemea sana mitandao, kila kitu tuna-google na hatudadisi any further...
Duuh biblia tena, kwani linatumika kwa wakristo pekee??
Wanasiasa wanalitumia kwa maana hiyo hapo juu. Hizo maana nyingine zinatumiwa na makundi mengine.

Mwendazake alipokua akisema anawatetea wanyonge means anawatetea wasioweza kujitetea ndio tafsiri yake hiyo.
 
Duuh biblia tena, kwani linatumika kwa wakristo pekee??
Wanasiasa wanalitumia kwa maana hiyo hapo juu. Hizo maana nyingine zinatumiwa na makundi mengine.

Mwendazake alipokua akisema anawatetea wanyonge means anawatetea wasioweza kujitetea ndio tafsiri yake hiyo.

Neno Wanyonge linabadilika kutoka na matumizi ya sehem husika
 
Siipendi hii kauli narudia tena siipendi hii kauli

Ni wazi sasa usemi huu umerudi kwa kasi ya ajabu.

Unanijiua mimi ni nani ni kauli ilio ilio jizolea umaarufu sana kwenye tawala nyingi sana lakini si awamu ya tano (JPM alihakikisha mwenye cheo hamnyanyasi mwenye hana cheo)

Kauli hii imekua ikitumika sana kuwaonea wanyonge, kuwashambulia wanyonge na kuzua taharuki kwa wanyonge kuwatishia wanyonge

Kauli hii ni imejawa na ukosefu wa nidhamu kwa anae itumia na inakera mno.

Naomba mamlaka husika turejee nini? au tufuatishe nin kilifanyika awamu ya tano mpaka kauli hii ikawa sio tumivu.
Nimefikilia tu yule jamaa aliyemuua afisa kipenyo hapo Dar alipata wapi ujasiri. Hii mada inaendana na kitendo cha jamaa kila akilewa anatoa gun
 
Nimefikilia tu yule jamaa aliyemuua afisa kipenyo hapo Dar alipata wapi ujasiri. Hii mada inaendana na kitendo cha jamaa kila akilewa anatoa gun

Jambo hili lina ukakasi uyo gift si tumeambiwa kua alikua ni fundi wa magari
 
Back
Top Bottom