Kauli ya WHO kuhusu taarifa ya Marekani kujitoa katika shirika hilo

ni muda nilishaacha kukariri wakurugenzi wa mashirika ya umoja wa mataifa kitambo sana tangu nipo shule. Sasa hivi hata ukiniuliza mkurugenzi wa UNHCR, WTO, ILO, UNIECEF siwajui, ninachojua ni katibu mkuu wao wa UN tu
 
huyo ni bosi mdogo wa kanda ya afrika tu, bosi mkubwa wa dunia nzima yuko geneva yaliko makao makuu ya WHO
Mkuu nadhani haupo sawa...... Yaani mkurugenzi wa WHO mie nisimfahamu? Kaingia Jumapili Dodoma then Jumatatu akaja ofisini,kisha akaelekea Chamwino mkuu
 
Prof Janabi aione kwenye jalada! Akipata nafasi ya WHO Africa ajue mshahara wake utakuwa sawa n wa Muhimbili sasa
 
Mkuu nadhani haupo sawa...... Yaani mkurugenzi wa WHO mie nisimfahamu? Kaingia Jumapili Dodoma then Jumatatu akaja ofisini,kisha akaelekea Chamwino mkuu
naona mi ndio simjui bosi wa WHO, tangu nitoke shuleni nilishaacha kufuatilia wakuu wa mashirika ya UN. Hata baadhi ya wizara hapa tz sijui mawaziri na manaibu wao ni kina nani
 
YMCA
 
Mkurugenzi wa WHO alikua Dodoma jana na baada ya kutoka liaison office Dodoma alikwenda Chamwino Ikulu kuongea na Mama kuhusu Marbug Virus na nadhani taarifa aliipata akiwa bado yupo Dodoma
Basi bora taarifa imemkuta akiwa hapa, anaweza kujadiliana na mama hatua gani tuzichukue kama nchi ili kuendana na mabadiliko haya
 
Kuna mambo mengine yanakera sana!! Kiongozi wa nchi anaenda kuomba msaada wa vyoo akiwa kwenye gari la milioni mia mbili na ushee VX ama V8! Tuna akili nzuri kweli?
Halafu bado wanaoitwa wataalamu badala ya kutumia akili ya kuongeza ajira ndio kwanza wanakuambia bado tunakopesheka
Hiyo mikopo wanatumia sijui kufanyia nini maana huoni maendeleo yoyote Africa
Yaani hata aibu hawana kupokea misaada
 
Marekani inataka kukuza Shrika lao la CDC.

Mbona mtaomba poo.

Endeleeni kula mbususu ARV zinaenda kukata hakuna za Bure.

Trump ni mfanya biashara.
 
Halafu bado wanaoitwa wataalamu badala ya kutumia akili ya kuongeza ajira ndio kwanza wanakuambia bado tunakopesheka
Hiyo mikopo wanatumia sijui kufanyia nini maana huoni maendeleo yoyote Africa
Yaani hata aibu hawana kupokea misaada
Hahahah inasikitisha sana na wana PhD kibao.
 
Donald trump ni jiwe wa Marekani yaani no upuuzi, na aliyoyaeleza ni 100% facts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…