1911
Member
- Dec 31, 2023
- 23
- 33
1. Serikali imejitahidi sana ๐ช๐ช
2. Ungekuwa wewe ndio kiongozi ungefanya nini?๐ฅ๐ฅ
3. Sio kazi ya serikali kumletea mwananchi maendeleo binafsi, kazi ya serikali ni kutengeneza mazingira. ๐๐๐
4. Tanzania ndio nchi pekee yenye kiwango kidogo cha โโโ, mmeona nchi X, Y, Z?๐ ๐
5. Deni letu ni himilivu๐ ๐
6. Hakuna mtu atakayegongewa kulipa deni la taifa ๐๐
7. IMF na World Bank wamesema uchumi wetu unaenda vizuri๐ญ๐ญ
8. Mlitaka kiongozi mkubwa wa nchi apande bajaji? ๐๐
9. Nyerere alisema tuitunze amani yetu ๐ฌ๐ฌ
10. Hata viongozi ni binadamu, wanakosea๐๐๐
11. Hakuna uhuru usiokuwa na mipaka๐ฅ๐ฅ
12. Hawa wametumwa na mabeberu ๐๐
13. Hakuna nchi isiyokopa๐๐
14. Viongozi wanafanya kazi ya Mungu, muwaombee๐ ๐
15. Tusifieni kwa mazuri tunayofanya๐๐
16. Sio sisi ni vita ya ukrein mara sijui russia๐๐
17. Upinzani wakishinda kutakuwa na vita.๐๐
18. Anaupiga mwingi ๐๐
19. Hamieni burundi ๐๐
20. Hata ukipiga kura kwingine CCM itatengeneza serikali huu ni upumbav mkubwa wenye kiburi na dharau zaidi kuwahi kusikia ๐๐
21.Rais katoa mabilioni ili barabara zijengwe katoa au nikodi zetu ๐๐
22.sio kazi ya serikali kutengeneza ajira ๐ญ๐ญ๐ญ
Nachokaga mimi kwa makauli ya kiseng**e kama haya
2. Ungekuwa wewe ndio kiongozi ungefanya nini?๐ฅ๐ฅ
3. Sio kazi ya serikali kumletea mwananchi maendeleo binafsi, kazi ya serikali ni kutengeneza mazingira. ๐๐๐
4. Tanzania ndio nchi pekee yenye kiwango kidogo cha โโโ, mmeona nchi X, Y, Z?๐ ๐
5. Deni letu ni himilivu๐ ๐
6. Hakuna mtu atakayegongewa kulipa deni la taifa ๐๐
7. IMF na World Bank wamesema uchumi wetu unaenda vizuri๐ญ๐ญ
8. Mlitaka kiongozi mkubwa wa nchi apande bajaji? ๐๐
9. Nyerere alisema tuitunze amani yetu ๐ฌ๐ฌ
10. Hata viongozi ni binadamu, wanakosea๐๐๐
11. Hakuna uhuru usiokuwa na mipaka๐ฅ๐ฅ
12. Hawa wametumwa na mabeberu ๐๐
13. Hakuna nchi isiyokopa๐๐
14. Viongozi wanafanya kazi ya Mungu, muwaombee๐ ๐
15. Tusifieni kwa mazuri tunayofanya๐๐
16. Sio sisi ni vita ya ukrein mara sijui russia๐๐
17. Upinzani wakishinda kutakuwa na vita.๐๐
18. Anaupiga mwingi ๐๐
19. Hamieni burundi ๐๐
20. Hata ukipiga kura kwingine CCM itatengeneza serikali huu ni upumbav mkubwa wenye kiburi na dharau zaidi kuwahi kusikia ๐๐
21.Rais katoa mabilioni ili barabara zijengwe katoa au nikodi zetu ๐๐
22.sio kazi ya serikali kutengeneza ajira ๐ญ๐ญ๐ญ
Nachokaga mimi kwa makauli ya kiseng**e kama haya