Kauli za kipuuzi zinazotolewa na viongozi kukwepa uwajibikaji

1911

Member
Joined
Dec 31, 2023
Posts
23
Reaction score
33
1. Serikali imejitahidi sana πŸ˜ͺπŸ˜ͺ

2. Ungekuwa wewe ndio kiongozi ungefanya nini?πŸ˜₯πŸ˜₯

3. Sio kazi ya serikali kumletea mwananchi maendeleo binafsi, kazi ya serikali ni kutengeneza mazingira. πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•

4. Tanzania ndio nchi pekee yenye kiwango kidogo cha β€”β€”β€”, mmeona nchi X, Y, Z?😠😠

5. Deni letu ni himilivu😠😠

6. Hakuna mtu atakayegongewa kulipa deni la taifa πŸ˜’πŸ˜’

7. IMF na World Bank wamesema uchumi wetu unaenda vizuri😭😭

8. Mlitaka kiongozi mkubwa wa nchi apande bajaji? πŸ˜•πŸ˜•

9. Nyerere alisema tuitunze amani yetu 😬😬

10. Hata viongozi ni binadamu, wanakoseaπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’

11. Hakuna uhuru usiokuwa na mipakaπŸ˜₯πŸ˜₯

12. Hawa wametumwa na mabeberu πŸ˜•πŸ˜•

13. Hakuna nchi isiyokopaπŸ˜’πŸ˜’

14. Viongozi wanafanya kazi ya Mungu, muwaombee😠😠

15. Tusifieni kwa mazuri tunayofanyaπŸ˜’πŸ˜’

16. Sio sisi ni vita ya ukrein mara sijui russia😏😏

17. Upinzani wakishinda kutakuwa na vita.😎😎

18. Anaupiga mwingi 😎😎

19. Hamieni burundi 😎😎

20. Hata ukipiga kura kwingine CCM itatengeneza serikali huu ni upumbav mkubwa wenye kiburi na dharau zaidi kuwahi kusikia 😎😎

21.Rais katoa mabilioni ili barabara zijengwe katoa au nikodi zetu 😎😎

22.sio kazi ya serikali kutengeneza ajira 😭😭😭

Nachokaga mimi kwa makauli ya kiseng**e kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…