Amazon Woman
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 796
- 1,187
π€£π€£π€£π€£Miye wanafurahia shoo wanangu mbona!!!!
π€£π€£π€£Mama njaa inauma anakujibu ing'ate
π€£π€£π€£π€£π€£Maa: asubuhi sio lazima ushibe Sana
Maa: mchana sio lazima ushibe Sana
Maa: kula kidogo ukalale..
I love you maa
π€£π€£π€£π€£dadeq"Macho yale kama baba yako kakosa hela"
ππππ mbavu zangu
π π πMi naenda kwenye vicoba sasa wewe lala tu jioni tunaenda kula serena hotel fisi wewe.
mi natoka hayo mahindi usiende kusaga nikija nitakaanga bisi.
π π π πNaenda hapo moshi mjini mwite na yule rafiki yako mvute bangi vizuri
Mimi baada ya kutoka town nilikokuwa nasoma na kwenda hom kwa bi mkubwa, siku ya kwanza kwenda kisimani nilimuuliza, mama nichukuwe chombo gn kinachonitosha? Yeye akajibu fastaa tu, chukua pipa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] hii ni kwere mzeemsiwape kuku chakula ,ntawapeleka hotelini
Daah, Mimi niliwahi kuambiwa kachote na mdomoMimi baada ya kutoka town nilikokuwa nasoma na kwenda hom kwa bi mkubwa, siku ya kwanza kwenda kisimani nilimuuliza, mama nichukuwe chombo gn kinachonitosha? Yeye akajibu fastaa tu, chukua pipa [emoji23][emoji23][emoji23]