Kauli za mama zetu enzi zile...

Kauli za mama zetu enzi zile...

Mama mbona mmeniachia chakula kidogo
Pumbavu ulitumwa ukacheze aya sasa ,meza na hilo sufuria
 
Umelala mpaka saivi, sawa somoni atakwenda baba ako
 
Mimi baada ya kutoka town nilikokuwa nasoma na kwenda hom kwa bi mkubwa, siku ya kwanza kwenda kisimani nilimuuliza, mama nichukuwe chombo gn kinachonitosha? Yeye akajibu fastaa tu, chukua pipa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahaha

3cf4ea4002c440d5bc6210f672062e88.jpg
 
😅😅😅😅
Mimi baada ya kutoka town nilikokuwa nasoma na kwenda hom kwa bi mkubwa, siku ya kwanza kwenda kisimani nilimuuliza, mama nichukuwe chombo gn kinachonitosha? Yeye akajibu fastaa tu, chukua pipa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
walikuwa wanamanibu ya chapchap kama waliyapangilia kuyasema
 
Mimi baada ya kutoka town nilikokuwa nasoma na kwenda hom kwa bi mkubwa, siku ya kwanza kwenda kisimani nilimuuliza, mama nichukuwe chombo gn kinachonitosha? Yeye akajibu fastaa tu, chukua pipa [emoji23][emoji23][emoji23]
Daah, Mimi niliwahi kuambiwa kachote na mdomo
 
Back
Top Bottom