Kauli za Marais kuhusu fedha kutoka nje

Kauli za Marais kuhusu fedha kutoka nje

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Viongozi.jpg


Magufuli: Sisi ni matajiri, tunaweza kuwasaidia hata Ulaya, misaada/mikopo yao masharti magumu

Samia Suluhu: Nimeenda Ulaya, pesa za miradi zilikwama tumezikwamua.

Nipo nazitafuta za kaka Jakaya..
 
Ukiona mzazi wako anajivunia pesa za jirani ujue kuna kitu jirani anakipata pia kutoka kwa huyo mzazi wako.
 
Mkapa ndie chanzo cha hapa tulipofikia kama taifa, ile mentality yake ya ubinafsishaji ndio iliyozaa 10% huko serikalini.

Matokeo yake mpaka mikataba wanayoingia waliomfuatia ikiwemo ya madini wakaweka maslahi yao binafsi mbele, badala ya maslahi ya taifa, 10% ikaendelezwa.

Leo ndio tuko hapa, pamoja na rasilimali zote tulizonazo tumeshindwa kuzisimamia, akili yote tumeihamishia kwa wafadhili, misaada imekuwa nguzo mpama kwenye bajeti yetu ya ndani, ikikosekana kuna wizara zinapewa bajeti isiyotosheleza mahitaji.

Huu utegemezi unafanya taifa lizidi kuwa masikini, kila siku kelele za kupambana na umasikini lakini matokeo yake field ni sifuri, kumbe hii inasababishwa na udumavu wa akili za viongozi wetu wasioamini peke yetu hatuwezi kujitegemea.
 
Ubinafsishaji ulikuwa sahihi ila makosa ilikuwa na kubinafsisha viwanda kwa makada wa chama kama Mo na Abood.
Mkapa ndie chanzo cha hapa tulipofikia kama taifa, ile mentality yake ya ubinafsishaji ndio iliyozaa 10% huko serikalini.

Matokeo yake mpaka mikataba wanayoingia waliomfuatia ikiwemo ya madini wakaweka maslahi yao binafsi mbele, badala ya maslahi ya taifa, 10% ikaendelezwa.

Leo ndio tuko hapa, pamoja na rasilimali zote tulizonazo tumeshindwa kuzisimamia, akili yote tumeihamishia kwa wafadhili, misaada imekuwa nguzo mpama kwenye bajeti yetu ya ndani, ikikosekana kuna wizara zinapewa bajeti isiyotosheleza mahitaji.

Huu utegemezi unafanya taifa lizidi kuwa masikini, kila siku kelele za kupambana na umasikini lakini matokeo yake field ni sifuri, kumbe hii inasababishwa na udumavu wa akili za viongozi wetu wasioamini peke yetu hatuwezi kujitegemea.
 
Magufuli alikuwa ni muongo, akiwa mbele ya watu anasema tuna pesa nyingi za kuendesha miradi yetu, akirudi nyuma ya pazia anakimbia mbio kwenda kukopa kiholela tena kwa riba kubwa.
 
Ubinafsishaji ulikuwa sahihi ila makosa ilikuwa na kubinafsisha viwanda kwa makada wa chama kama Mo na Abood.
Sorry, kwangu kubinafsisha kila kitu ulikuwa ni ujinga, na ndio waliutumia kama kichaka ili kila mmoja wao ajichotee chochote.
 
Mkapa ndie chanzo cha hapa tulipofikia kama taifa, ile mentality yake ya ubinafsishaji ndio iliyozaa 10% huko serikalini.

Matokeo yake mpaka mikataba wanayoingia waliomfuatia ikiwemo ya madini wakaweka maslahi yao binafsi mbele, badala ya maslahi ya taifa, 10% ikaendelezwa.

Leo ndio tuko hapa, pamoja na rasilimali zote tulizonazo tumeshindwa kuzisimamia, akili yote tumeihamishia kwa wafadhili, misaada imekuwa nguzo mpama kwenye bajeti yetu ya ndani, ikikosekana kuna wizara zinapewa bajeti isiyotosheleza mahitaji.

Huu utegemezi unafanya taifa lizidi kuwa masikini, kila siku kelele za kupambana na umasikini lakini matokeo yake field ni sifuri, kumbe hii inasababishwa na udumavu wa akili za viongozi wetu wasioamini peke yetu hatuwezi kujitegemea.

Ungefupisha tuu kwa kusema, uongozi mbovu wa ccm ndio umetufikisha hapa
 
Hakikubinafsishwa kila kitu
TANESCO, ATCL, TTCL, NBC, NMB, NHC, mashirika ya maji, ranchi, bandari na reli bado vipo mikononi mwa Serikali.
Sorry, kwangu kubinafsisha kila kitu ulikuwa ni ujinga, na ndio waliutumia kama kichaka ili kila mmoja wao ajichotee chochote.
 
Magufuli alikuwa ni muongo, akiwa mbele ya watu anasema tuna pesa nyingi za kuendesha miradi yetu, akirudi nyuma ya pazia anakimbia mbio kwenda kukopa kiholela tena kwa riba kubwa.
Toa mfano na alikopa wapi kama sio AfDB bank ya Africa na hakukuwa na masharti mengine ya ziada tofauti na Sasa.
 
Mkapa ndie chanzo cha hapa tulipofikia kama taifa, ile mentality yake ya ubinafsishaji ndio iliyozaa 10% huko serikalini.

Matokeo yake mpaka mikataba wanayoingia waliomfuatia ikiwemo ya madini wakaweka maslahi yao binafsi mbele, badala ya maslahi ya taifa, 10% ikaendelezwa.

Leo ndio tuko hapa, pamoja na rasilimali zote tulizonazo tumeshindwa kuzisimamia, akili yote tumeihamishia kwa wafadhili, misaada imekuwa nguzo mpama kwenye bajeti yetu ya ndani, ikikosekana kuna wizara zinapewa bajeti isiyotosheleza mahitaji.

Huu utegemezi unafanya taifa lizidi kuwa masikini, kila siku kelele za kupambana na umasikini lakini matokeo yake field ni sifuri, kumbe hii inasababishwa na udumavu wa akili za viongozi wetu wasioamini peke yetu hatuwezi kujitegemea.
You nailed it !!!
 
Back
Top Bottom