Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ili kupunguza tatizo la usafiri jijini Dar es Salaam, Serikali itawashirikisha Chama cha Wamiliki wa Daladala (UWADAR) ili kuwa miongoni mwa watoa huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (Udart). Akizungumza bungeni leo Mei 10, Waziri Mkuu...
Siamini kwamba kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwamba Tanzania inaongoza Afrika kwa kusambaza umeme ameitoa yeye mwenyewe bila kuongozwa na washauri. Na kama ni washauri wake wamempa hizo taarifa potofu basi wanapaswa kuwajibishwa kwa kusababisha Waziri Mkuu kutoa kauli ya "uwongo" bila...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema yoyote atakaye waonea waandishi wa habari wakati wakitimiza majukumu yao watakiona, kwani serikali inawatambua na kuwathamini na isingependa kuona hata siku moja mwandishi anapata tatizo anapotimiza wajibu wake. === SERIKALI: HATUTAKUBALI KUONA MWANDISHI...
www.jamiiforums.com
-Matokeo ya kamati ya Uchunguzi wa Moto Kariakoo sijayaelewa kabisa, lakini tuiachie mamlaka. Muda utatuambia.
Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ili kupunguza tatizo la usafiri jijini Dar es Salaam, Serikali itawashirikisha Chama cha Wamiliki wa Daladala (UWADAR) ili kuwa miongoni mwa watoa huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (Udart). Akizungumza bungeni leo Mei 10, Waziri Mkuu...
Siamini kwamba kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwamba Tanzania inaongoza Afrika kwa kusambaza umeme ameitoa yeye mwenyewe bila kuongozwa na washauri. Na kama ni washauri wake wamempa hizo taarifa potofu basi wanapaswa kuwajibishwa kwa kusababisha Waziri Mkuu kutoa kauli ya "uwongo" bila...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema yoyote atakaye waonea waandishi wa habari wakati wakitimiza majukumu yao watakiona, kwani serikali inawatambua na kuwathamini na isingependa kuona hata siku moja mwandishi anapata tatizo anapotimiza wajibu wake. === SERIKALI: HATUTAKUBALI KUONA MWANDISHI...
www.jamiiforums.com
-Matokeo ya kamati ya Uchunguzi wa Moto Kariakoo sijayaelewa kabisa, lakini tuiachie mamlaka. Muda utatuambia.
Katika PM wabovu kuwahi kutokea bongo,huyu anaongoza baada ya Mizengo Pinda,kwanza hata ubunge wake ni WA magumashi,wananchi walikuwa hawampendi,ni muongo sana,alidanganya kuhusu mwendazake,alienda Kiwanda Cha nguo Urafiki akatoa ahadi ya kutatua kero za wafanyakazi,miaka imepita sasa,aliaidi kuwashughurikia wale vingunge wa Hadhina waliopiga millioni 500 kwa kazi maalum,mpaka leo kimya,
Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake mpeni..Kwa kazi Alizofanya Majaliwa toka kwa Magufuli Mpaka Sasa kwa Mama Samia Bado Kuna mtu anaweza kufungua mdomo wake na kukashifu anacho fanya Majaliwa.
Au labda Kama MnaAgenda Nyingine ya kumchafua tu
Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake mpeni..Kwa kazi Alizofanya Majaliwa toka kwa Magufuli Mpaka Sasa kwa Mama Samia Bado Kuna mtu anaweza kufungua mdomo wake na kukashifu anacho fanya Majaliwa.
Au labda Kama MnaAgenda Nyingine ya kumchafua tu
Yaani dunia yenye watu Bilioni 7, watu Bilioni 5 waache kazi zao duniani kote wamuangalia Magufuli amekufa🙄 Mi mwenyewe sikuangalua. Huko duniani watu hawajui hata Tanzania ni kitu gani, achilia mbali iko wapi...Watu hawamjui Nyerere sembuse Magufuli.
Yaani dunia yenye watu Bilioni 7, watu Bilioni 5 waache kazi zao duniani kote wamuangalia Magufuli amekufa🙄 Mi mwenyewe sikuangalua. Huko duniani watu hawajui hata Tanzania ni kitu gani, achilia mbali iko wapi...Watu hawamjui Nyerere sembuse Magufuli.
Na ukiona Mtu anamchukia Majaliwa Bila shaka atakuwa ameguswa yeye au Ndugu yake kwenye kwenye Ile operation ya kuondoa vilaza na wavivu maofisi na Bado Majaliwa ataendelea kuwafanya mfanye kazi na sio janjajanja
Tatizo Tunapenda kuandika mambo ambayo hatuyajui.. Waziri Mkuu alipokwenda soko la kariakoo wakati limeungua iliundwa tume lakini Mhe. Rais wetu SAMIA SULUHU HASSAN akaona atoe fedha kea ajili ya kulijenga upya na liweze kuchukua watu wengi zaidi. Sasa sijui unataka utendaji gani wa Waziri Mkuu? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Shida vijakazi vya mabwanyenye wapo kazini kuifanya serikali makini chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ionekane kuwa haifanyi Kazi chini ya Mtendaji wake wa shughuli za serikali za kila siku...Mbona Majaliwa ameshasema mama tunaye Hadi 2030.. labda mtunge stori zingine maana sio kwa namna serikali wanavyoupiga Mwingi kila kukicha
Mbona Waziri Mkuu ameshawaambia Mawaziri wenzake na wabunge kuwa tutakwenda na mtu mmoja tu ambaye ni Rais Samia Suluhu Hassan...Sasa nyie mnaotumwa endeleeni kudemka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.