Hapana, wengine wanakuaga waoga tu kupima ila wazima..."Nimepima juzi juzi tu hapo!"
Kimbia speed
Alikua anataka kukuweka kwenye kwenye raiti traki afu ubebeshwe majukumu..Baby usiwaulize majirani kitu chochote kuhusu mimi...
kumbe majirani wanajua ana mimba halafu mimi ananificha!
nimekuja kugundua baadae sana
Kweli ni uoga tu wa kupima, ila uoga unaanza pale ukikumbuka yaliyotokea huko nyuma huenda hukutumia kinga nk. So ni riskHapana, wengine wanakuaga waoga tu kupima ila wazima...
video ya uyo anayesema "kwani we huniamini?"😁Mleta mada weka video...
Hatare mkuu😂😂Hapana, wengine wanakuaga waoga tu kupima ila wazima...