Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja ameshasema eti Jobe ana miguu kama Kangaroo. 🫣😆🤣Hatumtaki try again. Atuachie timu yetu. Jobe anakimbia kama Mbuni. Said kazeeka yule. Chama kahongwa na waarabu sio bure.
Kupata vichekesho kama hivi bonyeza * 5 - 1 #1.Hawa Simba wamoto sana.This time kombe wapewe mapema.
2.Nilijua tu Mamelod hawezi kutolewa na UTO.
3.Huyu Kibu karogwa siyo bure.
4.Viongozi hawajali hisia za mashabiki. Tutachekwa mpaka lini?
Ongeza yako....
Tena wasemem mapemaa kama Mamelod ni wachovu au la..!! Kalpana, GENTAMYCINE, Mshana Jr, cocastic et el semeni mapemaaa..!!!Utasikia Mamelod ya mwaka imechoka yaani inapigwa na Yanga hapo Pretoria
Niko sahihi mkuu [emoji1][emoji1]Kuna mmoja ameshasema eti Jobe ana miguu kama Kangaroo. 🫣[emoji38][emoji1787]
Karibu nyumbani MWAKAROBO JUNIOR 😊1.Hawa Simba wamoto sana.This time kombe wapewe mapema.
2.Nilijua tu Mamelod hawezi kutolewa na UTO.
3.Huyu Kibu karogwa siyo bure.
4.Viongozi hawajali hisia za mashabiki. Tutachekwa mpaka lini?
Ongeza yako....
AahaaaaaHii Mamelodi sio ile yenyewe