Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Wachovu na vipasi pasi vyao. Yanga ikifungwa watakuwa wazembe sana.Tena wasemem mapemaa kama Mamelod ni wachovu au la..!! Kalpana, GENTAMYCINE, Mshana Jr, cocastic et el semeni mapemaaa..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachovu na vipasi pasi vyao. Yanga ikifungwa watakuwa wazembe sana.Tena wasemem mapemaa kama Mamelod ni wachovu au la..!! Kalpana, GENTAMYCINE, Mshana Jr, cocastic et el semeni mapemaaa..!!!
Mkude ni namba 6! Ungesema Aucho badala ya Pacome. Halafu Bacca siyo beki ya kubutua butua kama Inonga. Kwa upande wa Mwamnyeto uko sahihi! Yule jamaa muda wowote anaweza kuchomesha.1) Bora tungemchezesha Mkude kuliko Pacome,
2) Gamondi si lolote, Nabi alikuwa Professor wa kiukweli
3) Mwamnyeto hatufai, umakini zero
4) Bacca anabutua butua tu