Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Hilo nawaachia wanajukwaa watoe marekebisho.Hebu rekebisha wewe chief judge
Kwahiyo we unataka iweje? Acha nongwa weMotto: Read in the Name of Allah
Hii kaulimbiu haijakaa sawa, wajaribu kutafuta maneno sahihi ya kiingereza
View attachment 2397712
Ndio kufanyaje kwamfano?Soma kwa jina la mola wako
Wavaa kobaz walikatazwa elim dunya....hawajaelewa hata point ya mtoa mada ni hiko kiingereza...Badala ya kurekebisha kiingereza hapo, wao wamekuja direct na matusi kwa mtoa madaStudy instead
Hebu rekebisha wewe chief judge
Alitaka kukosoa waislam kwamba hawafaham lugha kupitia chuo cha kiislamu kumbe yeye ndio MPUMBAVUInasikitisha sana ukiwa na mawazo kama ya mleta mada.View attachment 2397787
Alivyokuwa Popoma kaleta uzi akashindwa kukosa kwa kuonyesha makosa yako wapi na kuweka usahihi wake imekuwa kama anapost habari ya udaku kitu ambacho sio Sawa kwa mada kama hii kuwa namna hiyo.Alitaka kukosoa waislam kwamba hawafaham lugha kupitia chuo cha kiislamu kumbe yeye ndio MPUMBAVU
Waislam wanaamini kua katika ule msahafu wote unauona pale ulivyo mkubwa vile Aya ya kwanza kabisa kushuka ilisema Soma Kwa jina la Mungu (Allah) wako. Hii ndio amri ya kwanza pia aliyopewa Mtume wao Muhammad Peace be upon him.Motto: Read in the Name of Allah
Hii kaulimbiu haijakaa sawa, wajaribu kutafuta maneno sahihi ya kiingereza
View attachment 2397712
Walio hasi× = walioasiMi dini ya kuabudu MAJINI SIIPENDI JAMANI.
Hayo Majini ni Malaika WALIO hasi MBINGUNI.
Waliungana na lusifer kwenye uhaini.
Wakatupwa Duniani wakawa Majini hayo Majini yanaabudiwa sana na hao watu.
Hupati vyo bila Majini.
Haitaji❌ haihitaji✅Jinsi unavyoandika haitaji elimu kubwa kukutambua kuwa wewe ni kichwa boksi maana andiko lako lina makosa mengi ya kiuandishi kama mtoto wa chekechea.
Ile ni madrassatul ya watu wazima. Mboko ndo kwaoNasikia wanachapwa viboko kama sekondari tu
😀Wabaya vs wazuri=Matumizi yaoDini inasema kuna jini wazuri na wabaya ... fikiri kuanzia hapo