Kaulimbiu ya Muslim university of Morogoro imekosewa

Kaulimbiu ya Muslim university of Morogoro imekosewa

Hapo aya inaongelea kusoma tu (reading)....wewe unaongelea kila kitu...Tumwamini yupi?
Hivi wakisema mtu amesoma Chuo labda cha IFM wanamaanisha huko chuoni aliendaga tu kusoma hata haandiki chochote? Broad concept ya kusoma kulikozungumziwa kwenye hii aya ni kujifunza (learning) na sio reading.

Bismi Rab'ika means jifunze yale yamfaayo Mungu. Ukijifunza jinsi ya kudhulumu, kula rushwa, kuzini, kuua, kuiba, etc hapo ni unajifunza Bismi Shaitwaan ambako aya hii imekataa. Yaani jifunze yaliyo mema, sio yaliyo mabaya.
 
Hivi wakisema mtu amesoma Chuo labda cha IFM wanamaanisha huko chuoni aliendaga tu kusoma hata haandiki chochote? Broad concept ya kusoma kulikozungumziwa kwenye hii aya ni kujifunza (learning) na sio reading.

Bismi Rab'ika means jifunze yale yamfaayo Mungu. Ukijifunza jinsi ya kudhulumu, kula rushwa, kuzini, kuua, kuiba, etc hapo ni unajifunza Bismi Shaitwaan ambako aya hii imekataa. Yaani jifunze yaliyo mema, sio yaliyo mabaya.
Aya haiongelei kujifunza inaongelea kusoma.
Unajua hadith behind iyo Aya kwanza?
 
Duniani hapa hakuna dini yoyote iliyosahihi na ndio maana Yesu Kristo alikuja kuleta wokovu. Dini ni jitihada za mwanadamu kumtafuta Mungu. Jitihada hizo zinakoma pale mtu anapompata Yesu Kristo maana anapata uzima wa milele na kujazwa Roho Mtakatifu ili aweze kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.
ila yesu si ana upande wake au yesu ni wa waislamu na wakristo? angalia usije fika ukakuta huyo yesu mwenyewe ni bwana mdogo sana
 
Aya haiongelei kujifunza inaongelea kusoma.
Unajua hadith behind iyo Aya kwanza?
Unabisha ili ueleweshwe au unabisha ili ubishe tu?
Kulikua na maandishi yoyote kwenye lile pango anbalo Malaika Jibril alikua anamlazimisha Muhammad Peace be upon him ayasome? Kama alimwambia aseme, asome nini sasa? Maandishi gani ya kusoma yaliuokuwepo pale?
 
Wavaa kobaz walikatazwa elim dunya....hawajaelewa hata point ya mtoa mada ni hiko kiingereza...Badala ya kurekebisha kiingereza hapo, wao wamekuja direct na matusi kwa mtoa mada
We ndio huelewi!, hiyo ni aya kwenye quran
 
Back
Top Bottom