Mikopo ina riba hasaa. Kuna hawa wakopesha simu simu ya lak mbili mtu analipa lak 5. Kuna sehemu kuna atm ya crdb pembeni wana kiofisi chao kila nikienda atm wananiita bro bro njoo ukope simu. Mimi jibu langu nawambia kwani nyie hamwoni nimeshika simu mkononi.Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
Vitakutukana kituruki mpaka utaomba pooSasa huo si mkopo mkuu, 140,000 kwa 300,000 ni halali ila tu hakikisha unamaliza deni lao ndani ya mwaka mmoja au zaidi ili wote mnufaike,kwani ukiwa mkali ni waoga sana wa polisi,wewe wakikuzengua waambie mwende mahakamani,tambua hao watu ni wakwepa kodi,hivyo hawawezi kukubali polisi au mahakamani hawana pa kukupeleka hao.
Mimi ndani mwangu nina vitu vyao vingi,juzi wameniuzia oveni kwa sh 420,000 wakati dukani ina 200,000,nimekaa nayo miezi mitatu bila kulipia,mwezi huu ndo nimewalipa,ninampango wa kumaliza kulipa deni mwaka kesho mwezi wa 12 ilikhali tulielewana mwezi wa pili mwaka huu.
Poa mwana, angalia usijimalize hadi ukakosa za kujengea heshima Sky LoungeUsihofu mkuu samojaa niko kwa mwamposaa saa saba usiku ntakuwa skylounge. Kwenye makochi kulia...
(Kamautauonamwakàlakini)
Punguza pombe mkuu.Na je vioo vya Samsung original viko wapi hapo dar
Safi aliwanyoosha. Majamaa ni matapeli sana yale unamuuzia mtu kitu cha 60,000 kwa laki 300,000. Hiyo kwanza ni kusababisha inflation nashangaa serikali why ipo kimya kuchekea aina hii ya ulanguzi wa bei kwa raia wake.Ilaa wanaibiwaaa hatareeee....kuna mdada.mmoja tegeta alichukua vituvya kama.laki nane akatanguliza lak3 kumbe anahama duka ndani ya huo mwezi aisee nilijisikia vibaya sema nkawaza nawao siwanapiga mwosha huoshwa
Siyo kwa mwaka huu 2023 🤔🤔....Acha tu uishe 😳😳😳Punguza pombe mkuu.
Mkopo lazima umalizie japo Ukiwa mtata unadinda na ukienda kwenye sheria unaweza shinda.Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
Riba ipi ya 120% Kwa mwezi? Kuna sheria ipi inaruhusu riba ya hivyo?Sasa si na riba juuu hapo yani mtu akuuzie kitu unalipa kidogo kidogo miezi 4 bado unalalamika kama ulikuwa na uhitaji ungeenda mwenyewe kuitafuta huko mlimani city kabla
Wapumbavu hao achana nao. Watu hawana hata elimu ya uchumi basi japo wajue maana ya interest rates limits allowed by law, wajue effects za overpriced products kwenye uchumi na money inflation, wajue hata fraudulent activity kwenye biashara, hakuna wanalojua ni kubungua tu maneno wasiyojua yanawapeleka wapi.Riba ipi ya 120% Kwa mwezi? Kuna sheria ipi inaruhusu riba ya hivyo?
Hatari huduma mpaka mlangoni kwako!Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro, nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
Mkataba unamfunga!Amalizetuu kuwalipaJamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana anauliza nifanyeje bro, nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
Aisee Ukipata nistue na mimi nahitaji cha S 23 na cha S 10 plusNa je vioo vya Samsung original viko wapi hapo dar?