Hii nchi ina watu maskini sana wa kipato na akili
How.comes mtu anakopa vyombo ?
Dah aibu hii.
Yaani kuna vitu navisomaga huku mitandaoni mashangaa sana .
Kutoka.maisha yangu nishawahi kukopa.pesa benki na Kwenye Saccos ya ofisini basi.
Kuna jamaa namfahamu yeye anakopa bia namshangaaga sana huyo mtu