Fazzah5x
Senior Member
- Aug 10, 2022
- 172
- 243
Habari za sikukuu wapendwa
Nikiwa kama mwanajamii asee haya mambo yanayofanyikaga siku kama hizi za sikukuu(ukitoa siku nyinginezo),hali ni mbaya mno mtaani
Ndani ya siku hizi 2 tu yaaani jana na leo nimeshuhudia pairs zaidi ya 20 za watoto miaka 10-15 wakitoana out na kufanya adultery acts(sex,romance,sexy dances etc) kiufupi sijapendezwa haswaa kutokana na sababu kuu 2
a)kulingana na umri wao
b)uharibifu wa mantiki ya christmass((siku ya kumb ya kuzaliwa yesu kristo) japo hili libawahusu na watu wazima ambao siku hii hufanyika (UZINZI) wa hali ya juu
Kumalizia: vuteni muda kidogo mkawapime hao watoto wenu
Kaswende
Kisonono
UTI
HIV
Homa ya ini
Pid
Kansa ya koo
Na kadharika
Muwe na siku njema wazazi
Nikiwa kama mwanajamii asee haya mambo yanayofanyikaga siku kama hizi za sikukuu(ukitoa siku nyinginezo),hali ni mbaya mno mtaani
Ndani ya siku hizi 2 tu yaaani jana na leo nimeshuhudia pairs zaidi ya 20 za watoto miaka 10-15 wakitoana out na kufanya adultery acts(sex,romance,sexy dances etc) kiufupi sijapendezwa haswaa kutokana na sababu kuu 2
a)kulingana na umri wao
b)uharibifu wa mantiki ya christmass((siku ya kumb ya kuzaliwa yesu kristo) japo hili libawahusu na watu wazima ambao siku hii hufanyika (UZINZI) wa hali ya juu
Kumalizia: vuteni muda kidogo mkawapime hao watoto wenu
Kaswende
Kisonono
UTI
HIV
Homa ya ini
Pid
Kansa ya koo
Na kadharika
Muwe na siku njema wazazi