Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami hili limenifikirishaSasa si wanaharibu ushahidi?
Mungu akupe upofu ikiwa unajua lakni unajifanya hujui.Visingizio na maigizo ruksa
Waongo tu hao kwenye kituo zitaingiaje.Halima huna chako ujaribu kuhadaa wananchiHawakutakiwa kuzichona moto. Sasa unachona ushahidi
Mungu akupe upofu ikiwa unajua lakni unajifanya hujui.