Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nami hili limenifikirishaSasa si wanaharibu ushahidi?
Mungu akupe upofu ikiwa unajua lakni unajifanya hujui.Visingizio na maigizo ruksa
Waongo tu hao kwenye kituo zitaingiaje.Halima huna chako ujaribu kuhadaa wananchiHawakutakiwa kuzichona moto. Sasa unachona ushahidi
Mungu akupe upofu ikiwa unajua lakni unajifanya hujui.