Uchaguzi 2020 Kawe: Halima Mdee alalamikiwa kukiuka maadili ya uchaguzi kwa kutumia lugha ya matusi na kashfa

Uchaguzi 2020 Kawe: Halima Mdee alalamikiwa kukiuka maadili ya uchaguzi kwa kutumia lugha ya matusi na kashfa

Kwani uongo?
Si anawala kondoo kweli ktk hivyo vyumba? Si wanakondoo wanasema? kwani yeye amebisha?
Hebu tume na nyie acheni utopolo wenu? Ni yeye amelalamika au ni watu wanamsaidia kulalamika?
 
Kwani ushahidi si upo???
Aende na ile connection ya unno....
Aende na ile video ya maharage ya mbeya kwa bwana pengo.....
Aende na ile ya mahubiri ya kubadili misikiti kuwa sunday school.....
Aende na video ya bi kidude....
Aende na video kibao za bashite....

Mbona ishu ni simpo tuu hapo?
Hi unaelewa maana ya kudhibitisha kosa. U aweza aambiwa lete Original toka iliporekodiwa unaweza wasilisha?
 
Kwani uongo?
Si anawala kondoo kweli ktk hivyo vyumba? Si wanakondoo wanasema? kwani yeye amebisha?
Hebu tume na nyie acheni utopolo wenu? Ni yeye amelalamika au ni watu wanamsaidia kulalamika?
Kwahiyo huyo aliyesema Jukwaani ni mmoja wa wanakomdoo walioliwa. Hahahaaaaa
 
Siasa siasani
Nadhani gwaji ma alijiandaa kwa sarakasi zote hizi
In fact hizi ndizo siasa zenyewe sasa
Apambane
 
Kwa Maoni yangu .
Huyu mtu aliyemshauri kupeleka malalamiko haya; hana tofauti na yule aliyemshauri aende kwa. Baba Askofu Pengo kuomba msamaha kwa ajili ya kutafuta kura tu .Hata kama Mh Halima atapewa adhabu kusimamisha kampeni lakini Gwajma atapoteza zaidi.

Anayejua siasa anampoteza kushughulika na vijembe ambavyo havina mashiko.
Ndio maana Mh Halima alipotukanwa kuwa ni Bib kidude huoni akilalamika rasmi;
akijua ni tope.
 
Malalamiko yaliyofikishwa kwenye tume ya maadili ya uchaguzi ni pamoja na kumuita Gwajima kuwa ni Chokoraa, aidha ametoa madai yasiyoweza kuthibitika ni kudai kuwa mchungaji Gwajima anatembea na kondoo wake, ni mtu anayetafutwa huko Japan kwa kutembea na mke wa mchungaji

Pia amedaiwa kusema kuwa mchungaji Gwajima kanisa lake lina vyumba vinavyotumika kula kondoo


View attachment 1594790

View attachment 1594791
View attachment 1594792
Video zitumwe wasikilize waamua kwa haki.
 
Hawa wote wawili, Bi Halima na Mch. Gwajima wote kwa nyakati tofatitofauti wanajibizana Vijembe na kutukanana, sasa isije ikawa ya Kwamba anayewahi Police kushitaki ndie usikilizwa Kwanza na kupata advantage. Tume hii HURU iwe Makini Isije kujikuta Inakisaidia Chama Cha Mapinduzi kupooza au Kupunguza momentum ya Mashambulizi toka kwa washindani wao "Vyama Vya Upinzani'
Gwajima kazidiwa,kaishiwa pumzi
 
Huyo Mvuta Ngada Kaishiwa Hoja
Na kaelewa mwaka huu Analo
 
Kwa Maoni yangu .
Huyu mtu aliyemshauri kupeleka malalamiko haya; hana tofauti na yule aliyemshauri aende kwa. Baba Askofu Pengo kuomba msamaha kwa ajili ya kutafuta kura tu .Hata kama Mh Halima atapewa adhabu kusimamisha kampeni lakini Gwajma atapoteza zaidi.

Anayejua siasa anampoteza kushughulika na vijembe ambavyo havina mashiko.
Ndio maana Mh Halima alipotukanwa kuwa ni Bib kidude huoni akilalamika rasmi;
akijua ni tope.
Gwajima hajui siasa.Ingekuwa kulalamika nchi hii mtu wa kulalamika angekuwa Kikwete
 
NI UTAWALA HUU TU NDIO UNACHUKULIA MAMBO YA PROPAGANDA SERIOUS.
HUKU MOSHI VIJIJINI KUNA MGOMBEA UDIWANI WA CHADEMA AMESIMAMISHWA KUENDELEA NA KAMPENI KISA TU ANATUMIA WIMBO WA LADY JD WA YAHAYA KUMSEMA MGOMBEA WA CCM KUA ANAISHI KWA WAZAZI WAKE HADI LEO.
Dah Sasa huyo naye alienda kulalamika Nini? Wangeufungia wimbo sio mgombea
 
Itakuwa kaishiwa sera huyo si bure.
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
 
Mabibi na mabwana heshima kwenu.

Konde boy ana wimbo maarufu ndani yake ukimtajataja gwaji boy ambao ukipigwa hata mwenyekiti wetu hunesanesa kwa mbwembwe.

Wimbo huu umepigwa mara kadhaa wagombea wote wa majimbo ya Dar wakiwapo na wote bila kujitofautisha wakanesanesa vilivyo.

Maneno yaliyoko kwenye wimbo huu ndiyo msingi wa lalamiko #2 kwenye waraka huu:

IMG_20201010_144150_199.jpg


Labda kama waraka huu ni feki.

Kuwa fair, wa kulalamikiwa ni mwenye wimbo na si anayeyanukuu toka kwa mwenye wimbo.

Wakati tume, malalamiko ya watuhumiwa wengine mnayakalia yetu macho kuona mlalamikiwa hapa atakuwa nani.

Kwamba sasa tumechoka kwani ni siri tena?

Muda mbona utajibu?
 
..ccm ndio walioanza kampeni za vijembe na mipasho.

..sasa inaelekea wamezidiwa wanakimbilia kushtaki kwa tume.

..wazungu wana msemo,"..if you live in a glass house dont throw stones.."

..Gwajima ana makando-kando mengi ktk maisha yake, hakupaswa kujiingiza ktk harakati za uchaguzi.
 
Chadema bila kupelekwa mahakamani huwa hawaridhiki coz wamezoea vurugu kila mara inakuwaje badala ya kunadi sera zako kama mtu unayejielewa unaanza kumkashifu mgombea mwenza hiyo sio akili Huyo Halima mwenyewe hana akamilifu wowote hvyo kavunja sheria na lazima ahazibiwe
 
Back
Top Bottom