pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Hi unaelewa maana ya kudhibitisha kosa. U aweza aambiwa lete Original toka iliporekodiwa unaweza wasilisha?Kwani ushahidi si upo???
Aende na ile connection ya unno....
Aende na ile video ya maharage ya mbeya kwa bwana pengo.....
Aende na ile ya mahubiri ya kubadili misikiti kuwa sunday school.....
Aende na video ya bi kidude....
Aende na video kibao za bashite....
Mbona ishu ni simpo tuu hapo?
Kwahiyo huyo aliyesema Jukwaani ni mmoja wa wanakomdoo walioliwa. HahahaaaaaKwani uongo?
Si anawala kondoo kweli ktk hivyo vyumba? Si wanakondoo wanasema? kwani yeye amebisha?
Hebu tume na nyie acheni utopolo wenu? Ni yeye amelalamika au ni watu wanamsaidia kulalamika?
Sioni hoja hapo mzee[emoji23]Hi unaelewa maana ya kudhibitisha kosa. U aweza aambiwa lete Original toka iliporekodiwa unaweza wasilisha?
Tatizo hizi kesi uchwara' zinaenda kwenye mahakama 'uchwara' za NEC.Wapi alipotamka neno Gwajima.? hii kezi rahisi sana
Mbio za mfa maji hizo!Sindano zimeanza kumuingia gwajiboy
Video zitumwe wasikilize waamua kwa haki.Malalamiko yaliyofikishwa kwenye tume ya maadili ya uchaguzi ni pamoja na kumuita Gwajima kuwa ni Chokoraa, aidha ametoa madai yasiyoweza kuthibitika ni kudai kuwa mchungaji Gwajima anatembea na kondoo wake, ni mtu anayetafutwa huko Japan kwa kutembea na mke wa mchungaji
Pia amedaiwa kusema kuwa mchungaji Gwajima kanisa lake lina vyumba vinavyotumika kula kondoo
View attachment 1594790
View attachment 1594791
View attachment 1594792
Gwajima kazidiwa,kaishiwa pumziHawa wote wawili, Bi Halima na Mch. Gwajima wote kwa nyakati tofatitofauti wanajibizana Vijembe na kutukanana, sasa isije ikawa ya Kwamba anayewahi Police kushitaki ndie usikilizwa Kwanza na kupata advantage. Tume hii HURU iwe Makini Isije kujikuta Inakisaidia Chama Cha Mapinduzi kupooza au Kupunguza momentum ya Mashambulizi toka kwa washindani wao "Vyama Vya Upinzani'
Gwajima hajui siasa.Ingekuwa kulalamika nchi hii mtu wa kulalamika angekuwa KikweteKwa Maoni yangu .
Huyu mtu aliyemshauri kupeleka malalamiko haya; hana tofauti na yule aliyemshauri aende kwa. Baba Askofu Pengo kuomba msamaha kwa ajili ya kutafuta kura tu .Hata kama Mh Halima atapewa adhabu kusimamisha kampeni lakini Gwajma atapoteza zaidi.
Anayejua siasa anampoteza kushughulika na vijembe ambavyo havina mashiko.
Ndio maana Mh Halima alipotukanwa kuwa ni Bib kidude huoni akilalamika rasmi;
akijua ni tope.
Dah Sasa huyo naye alienda kulalamika Nini? Wangeufungia wimbo sio mgombeaNI UTAWALA HUU TU NDIO UNACHUKULIA MAMBO YA PROPAGANDA SERIOUS.
HUKU MOSHI VIJIJINI KUNA MGOMBEA UDIWANI WA CHADEMA AMESIMAMISHWA KUENDELEA NA KAMPENI KISA TU ANATUMIA WIMBO WA LADY JD WA YAHAYA KUMSEMA MGOMBEA WA CCM KUA ANAISHI KWA WAZAZI WAKE HADI LEO.
Mwisho wake umefika,hawezi kutukana mtumishi wa Mungu akabaki salama. Kalisalimisha jimbo la kawe mwenyewe.Na yy alivo muita mwenzie bi kidude..mbona mdeee hakuandika mibarua awe mpole tu dawa nae im
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"Itakuwa kaishiwa sera huyo si bure.