Miss Makandana
Member
- Sep 28, 2020
- 83
- 13
Kweli halima unakauli chafu sana na unafanya hata wale tuliokuwa tunakuheshimu hatutakuheshimu tenaMalalamiko yaliyofikishwa kwenye tume ya maadili ya uchaguzi ni pamoja na kumuita Gwajima kuwa ni Chokoraa, aidha ametoa madai yasiyoweza kuthibitika ni kudai kuwa mchungaji Gwajima anatembea na kondoo wake, ni mtu anayetafutwa huko Japan kwa kutembea na mke wa mchungaji
Pia amedaiwa kusema kuwa mchungaji Gwajima kanisa lake lina vyumba vinavyotumika kula kondoo
View attachment 1594790
View attachment 1594791
View attachment 1594792
Waache wananchi wenyewe waamue yeye kakosea kumsema vibaya hivi unadhani Gwajima kukaa kimya yeye n mjinga kumuita mwanaume Rijali kabsa kama Gwajima mrembo ni sawa huyu bi Dada anadharau sana hvyo anapaswa kuahazibiwa ajibu mashitaka mapema kabla hajamkuta ya kumkuta..ccm ndio walioanza kampeni za vijembe na mipasho.
..sasa inaelekea wamezidiwa wanakimbilia kushtaki kwa tume.
..wazungu wana msemo,"..if you live in a glass house dont throw stones.."
..Gwajima ana makando-kando mengi ktk maisha yake, hakupaswa kujiingiza ktk harakati za uchaguzi.
hizi zilipendwa unafukua makaburi tupe hoja za maana hapa tukueleweMalalamiko yaliyofikishwa kwenye tume ya maadili ya uchaguzi ni pamoja na kumuita Gwajima kuwa ni Chokoraa, aidha ametoa madai yasiyoweza kuthibitika ni kudai kuwa mchungaji Gwajima anatembea na kondoo wake, ni mtu anayetafutwa huko Japan kwa kutembea na mke wa mchungaji
Pia amedaiwa kusema kuwa mchungaji Gwajima kanisa lake lina vyumba vinavyotumika kula kondoo
View attachment 1594790
View attachment 1594791
View attachment 1594792
Naunga mkono hoja ya Halima Mdee, GWAJIMA NI CHOKORA, ANAZINI NA WAUMINI WAKE , TENA ANAWATUMIA WASICHANA WADOGO, ANAWA BLACK MAIL KWA KUTUMIA DINI NA MAMBO YA KISHETANI.
GWAJIMA NI CHOKORA, KILA MTANZANIA MWENYE NIA NZURI NA KAWE NA TZ, AMUUNGE MKONO HALIMA
Aaah wapi anasonga mbele na kampen kama kawa huyo bibi ameyataka mwenyeweGwajima kazidiwa,kaishiwa pumzi
Haujui kitu ni Bora ukae kimya mimi mwenyewe ningeitwa bibi kidude ningefurahi maana ni jina la Legend Gwajima hakumuita bibi kidude kwa ubaya bali yeye alimuita jina lenye sifa nzuri ili kumpa heshima maana anaelewa kuwa mwanamke lazima aheshimiwe lakin Yule Halima kwenye kampen zake wakati wanazindua kawe alimuita Gwajima mrembo hii ni sawa yan mwanaume Kama Gwajima n mrembo kweli alafu unaitwa na Mwanamke waza tu ingekuwa n wewe unafamilia yako alafu unaitwa mremboKwa Maoni yangu .
Huyu mtu aliyemshauri kupeleka malalamiko haya; hana tofauti na yule aliyemshauri aende kwa. Baba Askofu Pengo kuomba msamaha kwa ajili ya kutafuta kura tu .Hata kama Mh Halima atapewa adhabu kusimamisha kampeni lakini Gwajma atapoteza zaidi.
Anayejua siasa anampoteza kushughulika na vijembe ambavyo havina mashiko.
Ndio maana Mh Halima alipotukanwa kuwa ni Bib kidude huoni akilalamika rasmi;
akijua ni tope.
Uyu halima ndio kazi anayojua anashindwa kunadi sera anakalia kumtukana mgombea mwenza na ndicho kilichokuwa kinaendelea miaka kumi anashindwa kuleta maendeleo kwenye jimbo letu amekalia uchochezi amezidi sana uyu mbibi sisi wanakawe tumeshamchoka tunakwenda kufanya mabadiliko.Malalamiko yaliyofikishwa kwenye tume ya maadili ya uchaguzi ni pamoja na kumuita Gwajima kuwa ni Chokoraa, aidha ametoa madai yasiyoweza kuthibitika ni kudai kuwa mchungaji Gwajima anatembea na kondoo wake, ni mtu anayetafutwa huko Japan kwa kutembea na mke wa mchungaji
Pia amedaiwa kusema kuwa mchungaji Gwajima kanisa lake lina vyumba vinavyotumika kula kondoo
View attachment 1594790
View attachment 1594791
View attachment 1594792
Waache wananchi wenyewe waamue yeye kakosea kumsema vibaya hivi unadhani Gwajima kukaa kimya yeye n mjinga kumuita mwanaume Rijali kabsa kama Gwajima mrembo ni sawa huyu bi Dada anadharau sana hvyo anapaswa kuahazibiwa ajibu mashitaka mapema kabla hajamkuta ya kumkuta
Chokora ni wewe kwa taarifa yako wanakawe atutaki ata kumsikia uyo halima awamu hii tunabadilisha upepoNaunga mkono hoja ya Halima Mdee, GWAJIMA NI CHOKORA, ANAZINI NA WAUMINI WAKE , TENA ANAWATUMIA WASICHANA WADOGO, ANAWA BLACK MAIL KWA KUTUMIA DINI NA MAMBO YA KISHETANI.
GWAJIMA NI CHOKORA, KILA MTANZANIA MWENYE NIA NZURI NA KAWE NA TZ, AMUUNGE MKONO HALIMA
Nani kakwambia uyo bibi yenu ndiye aliyeishiwa sera amebaki kutukana tu na bado safari hii ataambulia patupuItakuwa kaishiwa sera huyo si bure.
Acha upuuzi we mbwa koko chuki zako usitake kuambukiza wengine sote tunawajua chadema mlivyowachafu wa kupindukia mambwa nyieKilicho dhahiri huyu bwana ni tapeli na mhuni. Hata hatuwezi kumwita ni mzinzi maana ni aheri wazinzi wana staha. Huyu bwana kufanya uzinzi huku akijirekodi, ni uhuni na uchafu wa hali ya juu.
CCM imetudharau sana wakazi wa jimbo la Kawe, kiasi cha kufikia kutuletea tapeli eti tumchague awe mwakilishi wetu. Ni aheri kuwakilishwa na Kingwendu kuliko huyu tapeli aliyejipachika uaskofu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo n ushamba wako wewe kazi ya Mungu inaendelea kama kawaida acha uchawi kama unasoma kweli biblia utagundua watu wengi walmtumikia Mungu na kutawala nchi pia hvyo Gwajima sio wakwanza kuwa mwanasiasa na mchungaji wako wakina DanielUnaona sasa. Angebaki zake madhabahuni, haya yote yasingemkuta.
Huwezi kutumikia mabwana wawili ukabaki salama.
Halima atoshaNaunga mkono hoja ya Halima Mdee, GWAJIMA NI CHOKORA, ANAZINI NA WAUMINI WAKE , TENA ANAWATUMIA WASICHANA WADOGO, ANAWA BLACK MAIL KWA KUTUMIA DINI NA MAMBO YA KISHETANI.
GWAJIMA NI CHOKORA, KILA MTANZANIA MWENYE NIA NZURI NA KAWE NA TZ, AMUUNGE MKONO HALIMA