Mbuzingombe
JF-Expert Member
- Apr 14, 2024
- 353
- 828
Kanunua nyumba hapa mbezi Beach karibu na Kidimbwi juzi tu,Huyo mwamposa na yeye akitaka nyumba anaomba kwa Mungu then asubuhi anaikuta, au anadai waumini wamchangie sadaka ya pesa ili akajenge? Nijibu kwanza then nitafanya maamuzi ya kumbeza au kumkubali
Wajinga endeleeni kumchangia,
Sisi majirani tumepata mdau wa maendeleo mtaani kwetu,