Uchaguzi 2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

Wewe wamekunyima hata mmoja wa majaribio, huyo wa kumi amekubalika na bado anakubalika, baada ya mitano take inayokuja , atakuunga mkono iwapo utabadili mawazo na kuja chama Bora zaidi.
Chama bora ndo kipi hcho[emoji57][emoji57]
 
Yan umekaa unaandika ujinga huu kweli huna akili
 
Kama mtu hana adabu ufanyweje kwa ufupi yule mama hana adabu kabsa bungeni huwezi mtukana kiongozi wako na asikuchukulie hatua
 
Jana nimehudhuria kampeni za Gwajima pale wanja wa magunia Msasani. Kwa kweli hata Gwajima hajui anaomba kazi gani. Halafu matusi hasa ya yule anaegombea udiwani nashindwa kuelewa hivi CCM imeishiwa na watu?
Mdee chapa kazi hawa ni wale wanaolipwa buku tano tano na CCM.
 
Ni nani muwakilishi wa wananchi kumbuka wananchi walimchagua ili awawakilishe kule bungeni lakin halima hajawahi kufanya hvyo zaid ya kutukana na kutetea chama chao hao mawaziri hawajachaguliwa na wananchi acha ufala wewe angefanya kazi yake kwa bidii zote
 
Hawana sera kabisa hawa wameishiwa pumzi
 
Tunaenda na mwamba Iron Lady na siyo pornstar/cum bishop mzee wa pornhub...
 
Acha kabsa kupotosha Umma jana Gwajima alikuwepo Bonde la mpunga na wala hakuna mtu hata mmoja aliyetukana kwa vile mmezoea kutukana nyie chadema msifikiri ya wenzenu wako hvyo sema utawafanyia nin wananchi wako sio maneno ya kuwaponda wengine paka wewe
 
Jana nilienda wanja wa magunia kumsikiliza Gwajima na mgombea udiwani pale Msasani.
Gwajima sijui hata anafahamu kazi anayoomba
Hahaha eti uwanja wa magunia wewe kweli akili zako ziko matakoni huwezi kumuelewa
 
Lazima tumchague Gwajima maana wanaKawe tushachoka na kero tulizonazo kwa miaka mingi sasa imetosha tunataka maendeleo na mabadiliko

unaenda kulichagua jitu la ccm tena daaah ? aisee hii nchi ina ungese wa kiwango cha lami, yan mtu alikuwa anawazaba mitusi na kila kitu leo kawa mwema leo anaweza kuleta maendeleo aiseeeee
 

..Mawaziri kama Dr.Ndalichako, Dr.Makame Mbarawa, Dr.Philip Mpango, wote ni madiwani wa manispaa za Dsm.

..kama wanaruhusiwa kushiriki vikao vya madiwani, basi wanawajibika kuwasemea na kuwaletea maendeleo wananchi wa Kawe.

..kilichotokea hapo ni HUJUMA tu, na wananchi wanatakiwa wakatae uhuni huo.
 
Tulimchagua Halima hvyo angetuwakilisha alafu wewe unayeongea hvyo umesoma Ilan ya utekelezaji 2015-2020 hzo hela alitolea wapi ndo maana tunasema ameandika uongo mtupu akijifanya eti kawe inahitaj Heshima heshima Gani aliyoleta kawe
 
unaenda kulichagua jitu la ccm tena daaah ? aisee hii nchi ina ungese wa kiwango cha lami, yan mtu alikuwa anawazaba mitusi na kila kitu leo kawa mwema leo anaweza kuleta maendeleo aiseeeee
Ni wazi kuwa Halima hawez kutuwakilisha Bungeni hvyo hatuwezi kamwe kurudia matapishi sisi ndo wakazi wa kawe na hali zetu tunazijua ni bora mara kumi kumchagua Gwajima kuliko huyo domo zege
 
Tulimchagua Halima hvyo angetuwakilisha alafu wewe unayeongea hvyo umesoma Ilan ya utekelezaji 2015-2020 hzo hela alitolea wapi ndo maana tunasema ameandika uongo mtupu akijifanya eti kawe inahitaj Heshima heshima Gani aliyoleta kawe

..inaelekea hufahamu utaratibu wa matumizi ya fedha za mfuko wa maendeleo wa jimbo.

..mbunge na madiwani wanawajibika kuzipangia fedha matumizi kulingana na maombi ya wananchi na vipaumbele mbalimbali.

..baada ya kikao cha mbunge na madiwani kuamua fedha zitumike ktk mradi gani, au zigawiwe kwa kikundi gani, MKURUGENZI WA HALMASHAURI hutoa fedha hizo, na husimamia kuhakikisha zimetumika kwa malengo yaliyowekwa.

..Kwa hiyo kama fedha zimetumika vibaya, au hazikuwafikia walengwa, anayepaswa kulaumiwa ni MKURUGENZI na siyo mbunge. Utaratibu huo upo ktk majimbo yote hata yale yaliyochagua wabunge wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…