Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Mtandao sio mzuri. Ila sijapanick na sijalidhika na majibu yako. Na kwa mantiki hii JPM hajaagiza watu anaotaka wapitishwe kugombea.Mkuu ni kuwa umepanick mpaka unatuma duplacate post, au unatumia internet iliyo extremely slow?
HAPANA. Yupo Moshi anakula u DCKipi Warioba hajachukua form ?
Gwajima ana nafasi kubwa ya kushinda. Nimeona mdogo wake Gwajima kachukua Kawe na yeye. Anamponda kaka yake balaa.HAPANA. Yupo Moshi anakula u DC
Gwajima hawezi kushinda kwani jimbo la Kawe zaidi ya asilimia 70 ni waislamu. Hata yeye hilo analijua na anajihangaisha tu!Gwajima ana nafasi kubwa ya kushinda. Nimeona mdogo wake Gwajima kachukua Kawe na yeye. Anamponda kaka yake balaa.
Nenda kapambane, all the best.Wanabodi,
Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.
Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.
Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.
My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.
Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.
Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...
Naomba nisimalizie.
CCM Oye!
Paskali
Gwajima hawezi kushinda kwani jimbo la Kawe zaidi ya asilimia 70 ni waislamu. Hata yeye hilo analijua na anajihangaisha tu!
Gwajima hawezi kushinda kwani jimbo la Kawe zaidi ya asilimia 70 ni waislamu. Hata yeye hilo analijua na anajihangaisha tu!
dah mim siwez kuchanganya rangi maandishiWanarejelea kilichotokea mwaka 2019 kwenye uchaguzi serikali za mtaa, ilikuwa ukipita CCM ndiyo umekwaa nafasi unayogombea. Hivyo watu wanaamini, mwaka huu ukipitishwa na CCM, ndiyo umekuwa mbunge.
Gwajima ana ugomvi mkubwa sana na waislamu na yeye ndiye aliyeuanzisha. Sijaandika hapa kwa bahati mbaya na ndiyo maana sijamtaja mtu mwingine zaidi ya Gwajima.Hizo taarifa za takwimu umezipata wapi?
Zina usahihi kiasi gani?
Kwa hiyo tuangalie kwenye Taifa letu dini gani wako wengi ndipo wale wenye dini yenye wengi wawe wanatoa Rais na wabunge au?
Aisee umenishangaza sana!
Mimi hata kama ni akigombea mbunge wa dini isiyo yangu sijali ili mradi atatimiza majukumu yake kwa ufanisi.
Tukatae udini
Tukatae ukabila
Tukatae itikadi
Tukatae kwa nguvu zote.
HAPANA. Yupo Moshi anakula u DC
Nimeshakujibu kwenye post yako nyingine.Sasa hapo unatakakuleta agenda ya Udini ambayo haileti faida bali hasara tupu!
Kwani mbunge anachaguliwa kutoa mawaidha au kuwakilisha wananchi bungeni na kutunga sheria na kuisimamamia na kuishauri serikali kwenye maswala ya wananchi?!
Yani leo hii mfano agombee Shekhe Issa Ponda ambae watu wanajua kuwa ni mfuatiliaji wa mambo watu wamkatae kwa kuwa muislam na jimbo alogombea lina wakristo wengi?
Mgombea hata akiwa mpagani haijalishi cha msingi ni kujiridhisha uwezo wake wa kufanya kazi na kuleta matokeo chanya kwa manufaa ya wananchi wa jimbo na Taifa kwa ujumla.
Yani umenishangaza sana sikutegemea hata kidogo mtu aje na mawazo kama yako.
Gwajima hawezi kushinda kwani jimbo la Kawe zaidi ya asilimia 70 ni waislamu. Hata yeye hilo analijua na anajihangaisha tu!
Na wasiojitokeza, lakini wanamkubali je?Ni hatari kweli hadi Paul Mashauri naye yumo kwenye kinyang'anyiro ,siri ya kujitokeza wengi ni kwamba wamemkubali magufuli.
Umewaza nini mzee,maana sio sababu ya lawama unazotaka kuandaa dhidi ya watia nia.Inawezekana wanaamini kuwa mbunge Wa Sasa ni rahisi kumuangusha. Na endapo Mdee atashinda tena basi hao 176 watatakiwa wasiruhusiwe kushika nafasi yoyote ya uongozi wa lisiada kwa miaka mitano ijayo!! Wananchi wa Kawe wakiwakataa wote hao litakuwa ni somo katika siasa!
Gwajima ana ugomvi mkubwa sana na waislamu na yeye ndiye aliyeuanzisha. Sijaandika hapa kwa bahati mbaya na ndiyo maana sijamtaja mtu mwingine zaidi ya Gwajima.
Alisema atazigeuza madrasa zote ziwe Sunday school! Tena aliongea hivyo madhabahuni!Ugomvi gani ?
Hebu elezea hapa tuweze kufahamu.
Vinginevyo utachukuliwa kuwa mtu unayetaka kuleta fitina na uzushi ili kumfarakanisha Gwajima na watu hao unaotaja kitu ambacho hakitaweza kumkwisha Gwajima.