Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie.

CCM Oye!

Paskali
Ndugu Paskal, unastahili na unaimudu sana hiyo kazi. Pia maoni yangu ni kuwa ukichaguliwa hutakuwa mbunge wa RUBBER STAMP, utasimamia haki na utawatumikia wana Kawe bila ubaguzi na utaweza kuishauri serekali vizuri.

Kwa KUDRA ZA ALLAH SUBHANA WA TAALA Utachaguliwa na utakapopewa shahada ya mgombea wa CCM, bila unafiki wa kichama, sisi wana JF tutaka tukuapize hapa jukwani na utuapie kuwa utautumikia ubunge wako 1st kwa wana kawa 2nd Watanzania wote, na hutakuwa mpambe wa kijinga kama kina Bajaj, msukuma na wengineo.

Pia ni tegemeo langu kuwa utakitumikia chama chako vizuri sana na kutoa ushauri mzuri bila uoga wowote, NGUMI YA MSUKUMA HALISI HAIRUDI NYUMA.
 
Alisema atazigeuza madrasa zote ziwe Sunday school! Tena aliongea hivyo madhabahuni!


Sasa ndugu yangu G Sam hapo pana ugomvi gani?

Je mfano Shekhe Issa Ponda naye siku akisema kuwa atageuza Sunday schools zote ziwe madrasa kutakuwa na ubaya gani?

Namtolea mfano sababu nampendaga jinsi anavyojielewa!

Hiyo ni mihemko ya watoa mawaidha/ mahubiri tu wala usichukulie kama ni ugomvi !

Unafahamu mtazamo katika kulichukulia jambo ndiyo unaoweza kukufanya uone kuwa ni ugomvi au si ugomvi.

Mbona kipindi cha Korona alikuwa anaombea watu wote wa Taifa hili hata wasio wakristo?!

Ndugu yangu tujifunze kupendana sisi wote ni watanzania,

Akifuatilia ikajengwa barabara tutapita wote wa dini zote na wapagani.
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie.

CCM Oye!

Paskali


CCM wanashangilia utitiri wa watia nia ya kugombea ubunge kupitia chama lao la Joka la Kijani la Kishetani, lakini hii so dalili mzuri tunakoelekea tutakuwa kama Somalia kila mtu anataka kuongoza mwisho wake tutaanza kuzichapa kugombania madaraka ya kisiasa maana ndiyo kwenye maslahi. Watumishi hawajaongizewa mashahara kwa miaka Kitano,nani anataka umasikini na unyonge.
 
Apite mmoja wao kutoka ccm, huyo mdee hafai. Chadema udini na ukabila na ndio unatufanya tusiwachague
Usiwachague wewe na nani? Maazimio yako na mkeo kuwa tusimchague Mdee usifanye ni ya jamii.
Wenzako wamemchagua 2010 na 2015
 
Hahaha kumbe wewe ndiye Kawe Alumni unayesumbua humu?!

Ila kujibu swali lako, ccm huwa haina vikao kukata majina huwa una mtu wake mmoja tu wengine mtajijua.

Wakiisha mnyofoa mtu wao wengine hata hamtajulishwa mambo yanaendelea, wako hivyo.
 
"Tupate mbunge bora"
Kiongozi wa umma anateuliwa na ccm?

Kwa hiyo paschal tayar umeshamkata kipi?
Kwa manufaa ya kawe tuseme kweli tu upinzani umeshindwa kujiaminisha kwa umma si wenyeviti walioondoka au madiwan na mbunge wote wanakimbia wanakawe na shughuli zao

Lkn halima naweza shinda tena kwa kuwa kina paschal n wachache huko kawe


Niliwahi ishi hapo 501 kwa dada yangu mpaka nilipofariki kimwilo
Jamaa umeandika nn mbona sujakuelewa?
 
Inawezekana wanaamini kuwa mbunge Wa Sasa ni rahisi kumuangusha. Na endapo Mdee atashinda tena basi hao 176 watatakiwa wasiruhusiwe kushika nafasi yoyote ya uongozi wa lisiada kwa miaka mitano ijayo!! Wananchi wa Kawe wakiwakataa wote hao litakuwa ni somo katika siasa!
Hakika inasikitisha na kuudhi sana. kuna mtu amechukua fomu kawe hata kusoma na kuandika hajui. kuna watoto wametoka shule juzi hata kazi hawajapata kufanya popote nao wametia nia hivi twaenda wapi
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie.

CCM Oye!

Paskali
Wote hawa wanataka kumuondoa Halima James Mdee.

Si Mpiga kura wa kawe lakini kwa ninavyoifahamu kawe kumtoa Mdee inahitaji akili ya upati
 
Huyu sizani kama anaweza kuwa king’ang’anizi katika kufuatilia mambo ili yafanyike jimboni kwake!

Huyu Ndiyo wale wanaobaki kujiweka kwenye ustaarabu tu usio na faida kwa wananchi [emoji108][emoji108]

Tunataka mtu king’ang’anizi ambaye ustaarabu anaweka pembeni wakati wa kazi .

Tunataka mtu asiyemuoga ikibidi hata kwenda kukabiliana na viongozi wakuu wa nchi juu ili kuhakikisha anapata ufumbuzi wa mambo yanayowakabili wananchi wake bila kujifanya mstaarabu machoni pa watu.

Gwajima anaweza hayo!
Gwajima huyuhuyu ambae mambo madogo yanamshinda hata kauli zake ni kinzani au yule mwingine?
 
Back
Top Bottom