Uchaguzi 2020 Kawe ya Halima Mdee, Halima Mdee na Kawe yake atosha

Uchaguzi 2020 Kawe ya Halima Mdee, Halima Mdee na Kawe yake atosha

Wanakawe wote kwa umoja wetu bila kujadi itikadi zetu tujitokeze kwa wingi wetu tarehe 28.10.2020 tuendelee na sauti adimu ya Zege. Tunahitaji mtu wa kwenda kutusemea na siyo mtu wa kwenda kupiga meza.

Anayeitwa askofu hata kura za maoni alishika nafasi ya 3, maana yake hakubaliki hata ndani ya CCM.

Zipo sababu zaidi ya 200 za kumchagua Halima Mdee lakini hapa naweka baadhi yake 10 tu.

1. Ni mwanamke shupavu
Kwanza Halima ni mwanamke asiyeogopa,jasiri asiyeangalia uso wa mtu. Mfano wa kuigwa na jamii yote. Haisemei KAWE tu huyu ni mbunge wa taifa.

2. Halima Mdee ni msomi na mchapa kazi
Elimu ya Mdee ni ya sheria na siyo ya mambo ya kawaida kama ya yule jamaa. Anao uwezo mkubwa wa sheria na amekua mchango mkubwa katika miswaada mbali mbali ya kisheria inayoenda bungeni.

3. Ana maono
Halima Mdee amekua mbunge mwenye maoni katika kuibadili KAWE, amepita katika wakati mgumu sana wa kusimamishwa bunge kwa sababu ya misimamo yake isiyoyumba.

4. Halima Mdee siyo mbaguzi
Halima Mdee siyo mbaguzi wa Kabila,Rangi, dini wala kanda anakotoka mtu, huyu ni mwakilishi wa wananchi wote na amekua akiishi hivyo.

5. Msemakweli
Halima Mdee kwake nyeusi ni nyeusi tu haiwezi kubadilika ikawa nyeupe.Atakuambia ukweli bila kupepesa macho

6. Mzoefu katika siasa za Tanzania
Halima Mdee ni mzoefu sana katika siasa za Tanzania, ameingia bungeni tangu mdogo sana. Haendi kujaribu ubunge,huyu ni mwakilishi tayari.

7. Amekua msemaji wa wananchi
Wa wanakawe na taifa kwa ujumla. Halima Mdee amekua msemaji wa shida za wananchi na siyo mtu wa kupiga meza tu.

8. Mtetezi wa Mtoto wa Kike
Halima Mdee kama utakumbuka vizuri akiwa na kadhi kadhi ya kutiwa ndani na kupelekwa mahakamani akitetea haki ya mtoto wa kike kurudi shule akipata ujauzito. Hili suala lilichukuliwa simple sana hasa na watu wa CCM lakini wengi walikua wakimfuata Halima Mdee nyuma ya pazia awatetee.

9. Anajiamini sana
Halima Mdee ni aina ya wanasiasa vijana wasiotumia. Anafanya kazi kwa kufuata anayoyaamini, hana usanii kama wengine.

10. Mwadilifu
Halima Mdee ni nembo ya wanawake waadilifu wasiokua na shaka. Hana kashfa za rushwa wala wala kutumia vibaya rasilimali za jimbo zikiwemo pesa za mfuko wa jimbo.

Kwa ujumla kumwelezea huyu dada hadi kumaliza utaweza kujaza kitabu kizima kumuandika. Huyu ndiye mwakilishi sahihi wa wananchi wa jimbo la KAWE.
Halima tunamuhitaji sana Bungeni kwa Maslahi mapana ya Taifa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nani anapaswa kupaza sauti ikasikika kuwa wana kawe hawapewi kipaumbele?Tusidanganyane bhana halima kwa kawe kaishindwa .Hivi ushawahi kufika MBOPO ww?watu kule wanaishi ka kijijini bhana,hakuna miundombinu kabisa barabara madaraja kule ni shida aiseeh,Ye anapuyanga tuh
Unaelewa hata ukisemacho ama kukiandika kweli wewe?

Nataka nikujengee uelewa kidogo ili mradi ujaribu kwa kila hali kutokuwa "conservative"..

Jibu maswali yafuatayo ya ufahamu;

1. Unaweza kwa manufaa ya wana JF wote ukataja majukumu matatu (3) makuu ya mbunge kwa mujibu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977 na marekebisho yake yote?..

2. Unajua kuwa kwenye kila halmashauri ya jijiji/manispaa/mji/wilaya, wako viongozi hawa?

å CCD - City Council Director

å MCD - Municipal Council Director

å TCD - Town Council Director na

å DED - District Executive Director

¶ Unajua kuwa hawa ndiyo wenye fedha zote za maendeleo katika eneo lako unaloishi?

¶ Unajua kuwa hawa ndiyo wanaopaswa kukujengea daraja, shule, solo, stendi, barabara, zahanati, hospitali nk nk?

¶ Unajua kuwa hawa ndiyo custodian wa kodi yako unayolipa kila siku ili mwisho wa siku igeuke kuwa daraja, shule, zahanati, barabara nk nk?

¶ Unajua kuwa hawa ndiyo "serikali" na INA maana kushindwa kujengwa kwa daraja huko Mbopo ni kushindwa kwa serikali kutimiza wajibu wake?

¶ Unajua serikali ya Tanzania inaongozwa na CCM? Kwa hiyo unakubali kuwa serikali chini ya CCM imeshindwa kuwajengea watu wa Mbopo daraja na barabara? Unadhani nini kifanyike?

3. Hebu eleza unataka Halima Mdee afanyeje ili huko Mbopo wawe na madaraja akiwa kama mbunge wako? Je, atumie fedha ya watoto wake kula nyumbani awajengee daraja nyie wana Mbopo?

4. Ukiwa mwaminifu wa nafsi yako na kuyajibu maswali haya kwa ufasaha, ujinga utakutoka na utakuwa mtu mwenye ufahamu kuanzia leo...!!
 
Wanakawe wote kwa umoja wetu bila kujadi itikadi zetu tujitokeze kwa wingi wetu tarehe 28.10.2020 tuendelee na sauti adimu ya Zege. Tunahitaji mtu wa kwenda kutusemea na siyo mtu wa kwenda kupiga meza.

Anayeitwa askofu hata kura za maoni alishika nafasi ya 3, maana yake hakubaliki hata ndani ya CCM.

Zipo sababu zaidi ya 200 za kumchagua Halima Mdee lakini hapa naweka baadhi yake 10 tu.

1. Ni mwanamke shupavu
Kwanza Halima ni mwanamke asiyeogopa,jasiri asiyeangalia uso wa mtu. Mfano wa kuigwa na jamii yote. Haisemei KAWE tu huyu ni mbunge wa taifa.

2. Halima Mdee ni msomi na mchapa kazi
Elimu ya Mdee ni ya sheria na siyo ya mambo ya kawaida kama ya yule jamaa. Anao uwezo mkubwa wa sheria na amekua mchango mkubwa katika miswaada mbali mbali ya kisheria inayoenda bungeni.

3. Ana maono
Halima Mdee amekua mbunge mwenye maoni katika kuibadili KAWE, amepita katika wakati mgumu sana wa kusimamishwa bunge kwa sababu ya misimamo yake isiyoyumba.

4. Halima Mdee siyo mbaguzi
Halima Mdee siyo mbaguzi wa Kabila,Rangi, dini wala kanda anakotoka mtu, huyu ni mwakilishi wa wananchi wote na amekua akiishi hivyo.

5. Msemakweli
Halima Mdee kwake nyeusi ni nyeusi tu haiwezi kubadilika ikawa nyeupe.Atakuambia ukweli bila kupepesa macho

6. Mzoefu katika siasa za Tanzania
Halima Mdee ni mzoefu sana katika siasa za Tanzania, ameingia bungeni tangu mdogo sana. Haendi kujaribu ubunge,huyu ni mwakilishi tayari.

7. Amekua msemaji wa wananchi
Wa wanakawe na taifa kwa ujumla. Halima Mdee amekua msemaji wa shida za wananchi na siyo mtu wa kupiga meza tu.

8. Mtetezi wa Mtoto wa Kike
Halima Mdee kama utakumbuka vizuri akiwa na kadhi kadhi ya kutiwa ndani na kupelekwa mahakamani akitetea haki ya mtoto wa kike kurudi shule akipata ujauzito. Hili suala lilichukuliwa simple sana hasa na watu wa CCM lakini wengi walikua wakimfuata Halima Mdee nyuma ya pazia awatetee.

9. Anajiamini sana
Halima Mdee ni aina ya wanasiasa vijana wasiotumia. Anafanya kazi kwa kufuata anayoyaamini, hana usanii kama wengine.

10. Mwadilifu
Halima Mdee ni nembo ya wanawake waadilifu wasiokua na shaka. Hana kashfa za rushwa wala wala kutumia vibaya rasilimali za jimbo zikiwemo pesa za mfuko wa jimbo.

Kwa ujumla kumwelezea huyu dada hadi kumaliza utaweza kujaza kitabu kizima kumuandika. Huyu ndiye mwakilishi sahihi wa wananchi wa jimbo la KAWE.
Onhezea na hii mama
11. Ni mwamke aliyeoa mwanamke
 
Hatutaki mtu ambaye ataenda kuwasaga wanawake wenzake kama mashine ya lister peter.
 
Hovyo ni nyie na mliyemleta yule jamaa. Yaani mmeacha woote wale mnamleta yule jamaa asiyejifahamu kabisa ?
Yule jama ni mara mia moja anajiekewa na anaelewa wananchi wa Kawe wanataka nini.
Halima kila siku kortini na selo, hakuna mwana kAwe alimchagua kwa hilo!
 
Maskini Mdee jimbo kashapokonywa alijifanya Mbunge wa kitaifa akalisahau jimbo lake ona sasa yanamkuta.

Mnyika hakuwa mjinga alisoma alana za nyakati.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom