Kazaliwa mwaka 1990 lakini Mama alifariki 1986 πŸ˜‚

inanikumbusha mchezaji wa lazio aliyeitwa Joseph Minala mzaliwa wa Younde cameroon, aliyesema amezaliwa 1996 hiyo picha hapa ni akiwa na miaka (20) lakini sura yake ilikataa kutoa ushirikiano, kelele zikawa nyingi mtandaoni hatimaye akafunga account zake za mitandao ya kijamii inasemakana kwa kipindi hicho umri wake halisi ilikuwa miaka 41
 
Duh huyu kiboko!,miaka 20 gani kakomaa anavigimbi mpaka kwenye mashavu.
 
Mwezi Mei mwaka huu mchezaji wa timu ya taifa ya Gabon, Ganga Kiaku alitakiwa kukutana na kamati ya nidhamu ya CAF kutoa maelezo ya kwa nini mama yake alifariki mwaka 1986 lakini yeye akazaliwa mwaka 1990 πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
This is Africa
 
Mwezi Mei mwaka huu mchezaji wa timu ya taifa ya Gabon, Ganga Kiaku alitakiwa kukutana na kamati ya nidhamu ya CAF kutoa maelezo ya kwa nini mama yake alifariki mwaka 1986 lakini yeye akazaliwa mwaka 1990 [emoji3][emoji3][emoji3].
Msukule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…