nasrimgambo JF-Expert Member Joined Jan 10, 2017 Posts 1,902 Reaction score 2,488 Aug 7, 2021 #41 NAWATAFUNA said: "mama yake alifariki 1986"kuna aina za mama,kuna mama mzazi,mama mlezi,mama wa kambo n,k Click to expand... Mh bado Sasa huyo mamako mlezi au wa kambo ndio awe kafa miaka minne kabla ya kuzaliwa huo umama kaupataje[emoji3] Labda useme ma mkubwa na mdogo hao kweli wanabakia kuwa mama ila huenda wakawa hawapo kipindi unazaliwa
NAWATAFUNA said: "mama yake alifariki 1986"kuna aina za mama,kuna mama mzazi,mama mlezi,mama wa kambo n,k Click to expand... Mh bado Sasa huyo mamako mlezi au wa kambo ndio awe kafa miaka minne kabla ya kuzaliwa huo umama kaupataje[emoji3] Labda useme ma mkubwa na mdogo hao kweli wanabakia kuwa mama ila huenda wakawa hawapo kipindi unazaliwa
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Aug 7, 2021 #42 Tate Mkuu said: Boko 29! π Kagere 28! π Nyoni 30! π Wawa 27! πππ Click to expand... Hapo bado Okwi bingwa wa kurudisha nyuma miaka
Tate Mkuu said: Boko 29! π Kagere 28! π Nyoni 30! π Wawa 27! πππ Click to expand... Hapo bado Okwi bingwa wa kurudisha nyuma miaka