Kaze anaihujumu Yanga, mtimueni haraka sana kwa mustakabali wa klabu

Wabongo kwa ujuaji kama Nabi aliomba siku 100 ili falsafa yake ifanye kazi kwenye timu tunawezaje kumulaumu Kaze kusimama mechi tatu? unataka kuniambia hizi mechi tatu tumecheza Nabi hahusiki kwa lolote?
wewe sio shabiki wa yanga
 
Unaqeza kutuonesha cheti chako cha ukocha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…