EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Si bora tu ubaki kubaki bongo kazi gani hizo za kitumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Visa zipo za aina nyingi kutegemea unaenda fanya nini huko na muda gani.Visa to the united states of amrica ni gharama kiasi gani?
Je kwenye porno industry huko wanaruhusu foreigners kupiga kazi?
Maisha popoteSi bora tu ubaki kubaki bongo kazi gani hizo za kitumwa
Hawajazuia watu kwendaDunia duara.
Wengine wanarudishwa na wengine wanajipanga kwenda
Ni heri hiyo 4000 kwa bongo kuliko hiyo 40000 kwa yule mzee mwenye chuki na waafrika.Bongo wanalipa elf 4 kwa masaa 10 USA wanalipa kuanzia elf 40 kwa lisaa kwa masaa nane.
So hela ya mwezi bongo nje unaipata kwa kufanya kazi masaa matatu.
Dunia ni kijiji
Unajiongeza kama wewe ni mtundu wa kusaka fursaNi heri hiyo 4000 kwa bongo kuliko hiyo 40000 kwa yule mzee mwenye chuki na waafrika.
Maisha ya USA ni ghari sana so usirahishe kwa kulinganisha 4k dhidi ya 40k.
Na hako kabania lohVisa to the united states of amrica ni gharama kiasi gani?
Je kwenye porno industry huko wanaruhusu foreigners kupiga kazi?
Wee ndio kanakuwa kivutio maana wanashangaaa kibamia kinapelekea moto warembo hatariNa hako kabania loh
Hivi ni kweli wanakimbizwa huko?, hata ukiwa na Doc halali?.Watu wanafukuzwa huko,alafu wewe bado unakuwa na imani kuwa USA bado ni sehemu salama kwa wageni. kila mtu aipambanie nchi yake.
mkuu, kama unauwezo wa kwenda USA nenda tuone kama utakaa hata siku mbili,manake huko kuna police katili,wafanyao msako kila muda mitaani kuwasaka wahamiaji haramu, hata kama una vielelezo vyote inabidi ukaendavyo stand by,kila kundi la police likipita uoneshe,na ukizubaa unaibiwa kitambulisho chako ndo utapelekwa huko magerezan kama mhamiaji haramu! yan kwa sasa america haijalish una pasport au huna amani kwa wageni ni ndogo mnoHivi ni kweli wanakimbizwa huko?, hata ukiwa na Doc halali?.
Niliona porno wataka BBC yenye bangili ndio sifa kuu.Visa to the united states of amrica ni gharama kiasi gani?
Je kwenye porno industry huko wanaruhusu foreigners kupiga kazi?
Akili za kulinganisha namna hii huwa sizielewi kabisa. Kumbuka Bongo huko wanapolipa 4000 kwa masaa 10 una uhakika wa kupata ugali dagaa maharage na mboga ya majani kwa Shilingi 500 tu, Hapo USA unaweza maliza hata Shilingi 120,000 kwenye chai na lunch tu.Bongo wanalipa elf 4 kwa masaa 10 USA wanalipa kuanzia elf 40 kwa lisaa kwa masaa nane.
So hela ya mwezi bongo nje unaipata kwa kufanya kazi masaa matatu.
Dunia ni kijiji
Kwahiyo vibamia hawatakiNiliona porno wataka BBC yenye bangili ndio sifa kuu.
Kazi za kingese kweli kweli. Halafu unalipwa $8 kwa saa bado hujala na pa kulala $250_400kwa mwezi. Bora upige madili hapa hapa bongo yetuKwa manew comers wabongo wapya wapambanaji.
Kazi rahisi kupata nchini Marekani mara nyingi ni kazi za kuingizio (entry-level) ambazo hazihitaji ujuzi maalum au uzoefu mrefu. Hapa ni baadhi ya kazi rahisi kupata:
1. Mhudumu wa Meza (Waiter/Waitress): Kazi ya kuhudumia wateja kwenye migahawa na vibanda vya chakula.
2. Mfanyikazi wa Duka la Rejareja (Retail Worker): Kazi ya kusaidia wateja, kupanga bidhaa, na kufanya mauzo kwenye maduka.
3. Mfanyikazi wa Hifadhi ya Bidhaa (Warehouse Worker): Kazi ya kupakia na kupakua bidhaa, kusafisha, na kusimamia hifadhi.
4. Msaidizi wa Nyumbani (Housekeeping): Kazi ya kusafisha na kuhudumia vyumba katika hoteli, nyumba za wageni, na makazi ya kibinafsi.
5. Msaidizi wa Kituo cha Afya (Healthcare Aide): Kazi ya kusaidia wagonjwa na wazee katika vituo vya afya na makazi ya wazee.
6. Mfanyikazi wa Uchukuzi (Delivery Driver): Kazi ya kusafirisha na kutoa vifurushi kwa wateja.
7. Mfanyikazi wa Usafishaji (Janitor/Cleaner): Kazi ya kusafisha majengo, ofisi, na maeneo ya umma.
8. Mfanyikazi wa Kihifadhi (Landscaping Worker): Kazi ya kushona na kusafisha bustani na maeneo ya nje.
9. Mfanyikazi wa Usaidizi wa Ofisi (Office Clerk): Kazi ya kusaidia katika shughuli za ofisi kama vile kuingiza data, kusafisha faili, na kushughulikia simu.
10. Mfanyikazi wa Kujitolea (Temp Worker): Kazi za muda kwa kupitia mashirika ya ajira ya muda, ambayo inaweza kuhusisha aina mbalimbali za kazi.
Kazi hizi mara nyingi hupatikana kwa urahisi na hazihitaji mafunzo maalum, lakini zinaweza kutoa mwanzo mzuri wa kuingia kwenye soko la kazi na kujenga uzoefu wa kazi.
Wewe betri limevimba au umeme mdogo kichwani 😹😹Visa to the united states of amrica ni gharama kiasi gani?
Je kwenye porno industry huko wanaruhusu foreigners kupiga kazi?
Uzuri mie nilishawaambia mwenze u toka shule mie nilikuwa mjinga tuu.Wewe betri limevimba au umeme mdogo kichwani 😹😹
Nilishasema ukifa km sio jeneza basi kaburi lako liwe na muundo wa picha ya mbususu 😹Uzuri mie nilishawaambia mwenze u toka shule mie nilikuwa mjinga tuu.
Akili zangu zatosha kuvuka barabara salama na kutambua hii ni mbususu
Nikifa mie nataka wani home moto kabisa niteketee hapa hapa duniani ili niukwepe moto wa matesoNilishasema ukifa km sio jeneza basi kaburi lako liwe na muundo wa picha ya mbususu 😹
Ukiingiza kwenye matumizi Ngoma droo mkuu,Bongo wanalipa elf 4 kwa masaa 10 USA wanalipa kuanzia elf 40 kwa lisaa kwa masaa nane.
So hela ya mwezi bongo nje unaipata kwa kufanya kazi masaa matatu.
Dunia ni kijiji
Unaweza kuta jamaa akitembea ni harufu nzuri ya mbususu inanukia mwilini mwakeNilishasema ukifa km sio jeneza basi kaburi lako liwe na muundo wa picha ya mbususu 😹