Kazi ambazo ni rahisi kupata kwa wakuja ukifika USA

Visa to the united states of amrica ni gharama kiasi gani?
Je kwenye porno industry huko wanaruhusu foreigners kupiga kazi?
Visa zipo za aina nyingi kutegemea unaenda fanya nini huko na muda gani.
Check website ya embassy yao.
Pia wachek hizo porno industry wanayo majibu juu ya hitaji lako
 
Bongo wanalipa elf 4 kwa masaa 10 USA wanalipa kuanzia elf 40 kwa lisaa kwa masaa nane.
So hela ya mwezi bongo nje unaipata kwa kufanya kazi masaa matatu.
Dunia ni kijiji
Ni heri hiyo 4000 kwa bongo kuliko hiyo 40000 kwa yule mzee mwenye chuki na waafrika.

Maisha ya USA ni ghari sana so usirahishe kwa kulinganisha 4k dhidi ya 40k.
 
Hivi ni kweli wanakimbizwa huko?, hata ukiwa na Doc halali?.
mkuu, kama unauwezo wa kwenda USA nenda tuone kama utakaa hata siku mbili,manake huko kuna police katili,wafanyao msako kila muda mitaani kuwasaka wahamiaji haramu, hata kama una vielelezo vyote inabidi ukaendavyo stand by,kila kundi la police likipita uoneshe,na ukizubaa unaibiwa kitambulisho chako ndo utapelekwa huko magerezan kama mhamiaji haramu! yan kwa sasa america haijalish una pasport au huna amani kwa wageni ni ndogo mno
 
Bongo wanalipa elf 4 kwa masaa 10 USA wanalipa kuanzia elf 40 kwa lisaa kwa masaa nane.
So hela ya mwezi bongo nje unaipata kwa kufanya kazi masaa matatu.
Dunia ni kijiji
Akili za kulinganisha namna hii huwa sizielewi kabisa. Kumbuka Bongo huko wanapolipa 4000 kwa masaa 10 una uhakika wa kupata ugali dagaa maharage na mboga ya majani kwa Shilingi 500 tu, Hapo USA unaweza maliza hata Shilingi 120,000 kwenye chai na lunch tu.
 
Kazi za kingese kweli kweli. Halafu unalipwa $8 kwa saa bado hujala na pa kulala $250_400kwa mwezi. Bora upige madili hapa hapa bongo yetu
 
Nilishasema ukifa km sio jeneza basi kaburi lako liwe na muundo wa picha ya mbususu ๐Ÿ˜น
Nikifa mie nataka wani home moto kabisa niteketee hapa hapa duniani ili niukwepe moto wa mateso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ