Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lazima lawama ziende kwake hakufanya kazi yake vizuriIbadilisheni sasa.. Kwa Nini mnamlaumu mzee aliyeondoka duniani miaka 25 iliyopita.. Kama mmeshindwa maana yake katiba hii haina shida..
Na alivyo mnafiki akajifanya kuiponda katiba bila kuifanyia chochote!Haya majangili yote ya mali za umma karibu yote yamesoma bure wakati wake, alishindwa ni nini kuacha katiba bora wakati wa uongozi wake?
NI upuuzi mtupu hayo mapikipiki nikupumbaza machawa wake waendelee kumsifia hamna lolote! Ukifuatilia hizo hela zinaweza kuwa zimetokana na wale wafanyabiashara wa sukari waliotumia makampuni ya kihuni kuagiza sukari njeWana lumumba mpogo?
Kazi nyingi asifiwazo Rais mtukufu wetu mama Samia, mmezipima mkaona hazitoshi kuwashawishi wananchi kumrudisha Ikulu siyo?
Hizo pikipiki mamia kwa mamia zilizoandikwa kwa jina la Samia 2025, wazalendo watumie jina gani kuziita
Ni zawadi au nini?
Ni rushwa kwa wapiga kura au takirima na au nini hasa?
Kwa nini isitoshe kuziamini kazi zake mnazozisifia kwamba zimewagusa wananchi na zitoshe kumpa kura tena?
Kwani mnamashaka tena na kazi zake mnazotuorodheshea kila leo hapa jf, kwamba mama kawazidi marais wote kwa kazi zilizotukuka na kwamba anaupiga mwingi?
Dalili zote ziko wazi kabisa!...Mama Abduli anahonga ili aendelee kukalia Ikulu ya Watanganyika.
..mwaka 2025 utakuwa uchaguzi wenye RUSHWA kuliko chaguzi zote.
..Ccm itatumia FEDHA nyingi kuliko chaguzi zote.
Lakini lazima ukweli usemweKwamba unashauri tukawaulize wafu juu ya mapungufu Yao?
Mimi siwezi fanya Ibada za wafu,
By the way, Katiba mpya Si zawadi, ni jambo la watu, wao waam
Hapana lakini ni ngumu sababu haya majangili ya mali za umma yananufaika na huu ubovu wa katibaMkuu, na sisi sasa tukubali kuishi kwenye makosa ya walioondoka?
Mfano wako umenigusa sana.. Ukoo wetu sisi ni watu wenye kimo Cha wastani na wafupi.. Nikasema huu ufupi uishie kwangu.. Nikatafuta make mrefu mrembo.. Bahati nzuri sana watoto wangu wote wametoka ni warefu wa kutosha kunizidi hata Mimi baba yao.. Sikulaumu nilitenda..Hizi ndio kumlaani babu mzaa babu yako sababu alikuwa na chogo alilokuachia wewe unalaumu kasababisha wajukuu zako kupata chogo wakate wewe ulikuwa na opportunity ya kudilute genes hizo mbovu kwa kutafuta mlimbwende asiye na chogo kuliko huyu uliyenae sasa mwenye chogo....
Vilevile unasahau enzi zile chogo labda ilikuwa ndio fashion...
Tukiamua! Historia hubadirishwa tuMfano wako umenigusa sana.. Ukoo wetu sisi ni watu wenye kimo Cha wastani na wafupi.. Nikasema huu ufupi uishie kwangu.. Nikatafuta make mrefu mrembo.. Bahati nzuri sana watoto wangu wote wametoka ni warefu wa kutosha kunizidi hata Mimi baba yao.. Sikulaumu nilitenda..
Sasa naqashangaa sana watu wanaolaumu historia.. Kufikia mpaka kuwatukana watangulizi.. Huko ni kushindwa.. Wewe umefanya nini Kwa nafasi yako kuleta mabadiliko..??
Afrika watu hawaangalii kazi Bali nope nikupe.Ingekuwa ni kazi Jiwe asingekuwa andhalilika Kwa kupiga magoti na pu shapu π€£π€£Wana lumumba mpogo?
Kazi nyingi asifiwazo Rais mtukufu wetu mama Samia, mmezipima mkaona hazitoshi kuwashawishi wananchi kumrudisha Ikulu siyo?
Hizo pikipiki mamia kwa mamia zilizoandikwa kwa jina la Samia 2025, wazalendo watumie jina gani kuziita
Ni zawadi au nini?
Ni rushwa kwa wapiga kura au takirima na au nini hasa?
Kwa nini isitoshe kuziamini kazi zake mnazozisifia kwamba zimewagusa wananchi na zitoshe kumpa kura tena?
Kwani mnamashaka tena na kazi zake mnazotuorodheshea kila leo hapa jf, kwamba mama kawazidi marais wote kwa kazi zilizotukuka na kwamba anaupiga mwingi?
Sio Rushwa ni takrima na kujali Kwa Rais wao.Mmh!
ππ unataka kusema hizo pikipiki za mama ni rushwa ya kura?
Bado, mtalalama sana safari hii.Wana lumumba mpogo?
Kazi nyingi asifiwazo Rais mtukufu wetu mama Samia, mmezipima mkaona hazitoshi kuwashawishi wananchi kumrudisha Ikulu siyo?
Hizo pikipiki mamia kwa mamia zilizoandikwa kwa jina la Samia 2025, wazalendo watumie jina gani kuziita
Ni zawadi au nini?
Ni rushwa kwa wapiga kura au takirima na au nini hasa?
Kwa nini isitoshe kuziamini kazi zake mnazozisifia kwamba zimewagusa wananchi na zitoshe kumpa kura tena?
Kwani mnamashaka tena na kazi zake mnazotuorodheshea kila leo hapa jf, kwamba mama kawazidi marais wote kwa kazi zilizotukuka na kwamba anaupiga mwingi?
Alidhalilika na huo ujinga ndio Samia hawezi fanya ππHata hivyo hakuhonga pikipiki mkuu
Sawa wewe ulitaka abandikwe bibi Yako?bi chura:
1. kajibandika kwenye mabango barabara zote za mijini na vijijini
2. kaingiza mapikipiki kayachora uso wake
3. makoti eti anayaita sare za bodaboda yana picha yake
4. kajitungia album nzima ya bongo flava kupitia yule msanii mmakonde
ni shida!
Safari ndefu ya kwenda wapi? Aliyekwambia Africa watu wanaangalia vitu vya msingi au performance ni nani?Africa tunasafari ndefu sana
Ila we jamaa bhana! π€£Alidhalilika na huo ujinga ndio Samia hawezi fanya ππ
Mwisho bila hongo hutoboi,uliza ambavyo wanavujiji walihawiwa mbolea za Bure mifuko 3 Kila mmja π€£π€£