Msisahau sekta ya Wanyamapori na maliasili zake,zinalipa sana tena sana nadhani ni sekta ambayo imeajiri vijana wengi wa Kitanzania kuliko sekta yoyote kwa ninavyofikiria mimi,sekta hizi ni kama Tanapa,Ncaa,Tawa, TFS (misitu),ambazo ndo chanzo pia cha makampuni ya kitalii,mahoteli n.k ambayo pia yameajiri watu wengi na salary na marupurupu ni matamu ambayo yanamfanya mtumishi hasitamani kuacha kazi.
Na walio wengi wamepata elimu ya kawaida sana aidha baada ya kumaliza o'level,six na kuongezea Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi Mwanza au MWEKA Moshi au Taaluma kama hiyohiyo au Utabibu wa Wanyamapori toka SUA.
Sekta binafsi unakuta dereva/tourguide kapiga Pasiansi au MWEKA halafu kapiga lugha za ziada mf,Kijurumani,Kijapani,Kichina n.k,kajipatia leseni sahihi toka VETA/NIT nakwambia mtu huyo mwenye PhD hamfikii kwa maisha bora.
So msiwaze kusoma sana ndo kutoboaa wazee.Goodmorning