Kazi inazidi kuwa rahisi kwa yanga kwenye mbio za ubingwa

Kazi inazidi kuwa rahisi kwa yanga kwenye mbio za ubingwa

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Sasa rasmi gape la pointi imekuwa alama 10 kati ya yanga na simba, ni umakini mdogo wa polisi leo kulikowafanya washindwe kuondoka na alama 3, wamecheza vizuri sana lakini umakini wao mdogo kwenye final third umewafanya waokote point moja, Mbio za ubingwa kwa timu ya wananchi zinazidi kurahisishwa
 
binafsi nita penda sana kama 'wananchi' tutachukua ubingwa wa huu msimu 'kibabe' na 'kigumu' na kwa 'uchungu' yaani mechi ya mwisho ndiyo iamue bingwa wa msimu huu tena kwa machungu kweli kweli na hii ndiyo raha ya football, siyo unachukua ubingwa kabla ya mechi7 za kumaliza msimu
 
Back
Top Bottom