Kazi ipo hii ndio ratiba maalum ya viporo vya Simba FC

Nimalizie kujadiliana nawe kwa kukuelewesha
Anhaa kumbe uzi unazungumzia viporo vya simba ..Hayo magoli manne..or matano simba hawajawahi fungwa kwenye viporo vyake kwenye hii ligi...unaswali jingine??
Ah! Nimeona nikusaidie kwa mara ya mwisho kufahamu jinsi hoja na maswala yako visivyokidhi haja kabla ya kuagana. Kwani viporo vya Simba, ambavyo ndio mada ya uzi wenyewe, chanzo chake ni nini? Na kama unakijua, hakihusiani na hayo manne, na matano na matano? Kwa heri.
 
Moro wo wenyewe wamekaa baada ya mechi,Mkwakwani kumenoga heheheheeeeeeeeeee!
 
Ungeanzisha uzi wake...FULL TIME...Makwasukwasu fc 0 - Mtigwa 1
 
Hiyo ya tarehe moja its ahirishwa tu, ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…