IWAMBI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 730
- 624
Hahaah wewe ni mshabiki wa yanga sio tp mazembe maswala ya simba na tp mazembe hayakuhusu...maswala yanayokuhusu ni ya timu yako yanga...sasa ndo nakukumbusha timu yako yanga juzi tu imekutana na sisi simba tukawalawiti kimojaa...sahivi marinda hakuna hahaaaahKwa hivyo kwa raha zenu na nyinyi mkageuka mkapigwa vinne vya mlevi?