johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katika modern world walichobakinacho Wanasiasa ni Kujidanganya Wao binafsi huku Wakiamini Wanawadanganya Wananchi.
Wanasiasa wa Dunia ya Leo ndio wale akina Herode walioamini Wanawadanganya Mamajusi kumbe Herode alikuwa anajidanganya Yeye Mwenyewe.
Nawatakia Maulidi Mubarak 😄
Wanasiasa wa Dunia ya Leo ndio wale akina Herode walioamini Wanawadanganya Mamajusi kumbe Herode alikuwa anajidanganya Yeye Mwenyewe.
Nawatakia Maulidi Mubarak 😄