Kazi ngumu aliyonayo Marekani kwa sasa ni kupambana kwa kila hali na China

Kazi ngumu aliyonayo Marekani kwa sasa ni kupambana kwa kila hali na China

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Moja ya kazi ngumu inayomkabili marekani sasa ni kupambana kila awezavyo ili kumdhibiti China.

Hii ni kazi ngumu sana kwa sababu inahusu maeneo mengi yakiwemo

- Ushindani wa kiuchumi, marekani anahitaji kufanya kila namna kudhibiti ukuaji wa uchumi wa kwa miaka mingi ijayo ili isizidi kuwa tishio kubwa kwake.

- Ushindani wa kiteknolojia, dunia inapitia mapinduzi makubwa ya kiteknolojia na katika maeneo hayo wanao onesha kuchukua kwa kasi ni wao marekani akiwa pamoja na washirika wake dhidi ya taifa la China. Marekani akipoteza title hii kwa adui yake China ni hasara kubwa kwake hivyo ana kazi kubwa ya kumfunga China speed governor

Katika maeneo kama haya marekani atakuwa na kazi nzito ya kumdhibiti China. Je, kupitia migogoro/vita ? Kitu ambacho kimekuwa kigumu sana kwa uchina.

China wamekuwa wagumu sana kuingizwa katika vita au hata katika migogoro ya mbali na marekani mara kadhaa amejaribu kufanya hivyo.

Na kupitia vita ndio sehemu ambayo mipango mingi ya nchi inavurugika hii hata kwa kuitazama marekani ushiriki wake wa vita vingi pia umeleta hasara kwake kama taifa kinyume kabisa na kwa mshindani wake.

Marekani anahitaji kuafanya kila awezalo kumdhibiti China katika hayo maeneo makubwa mawili ndiyo yaliyo baba uhai wake kwa sasa na miaka mingi ijayo.

Je, atatumia mbinu gani ? Au ataendelea kuamini kupitia migogoro/vita ndio njia pekee ya kumpoteza mshindani wake China ?

Na Je, nao wachina wataachana na utulivu huu walionao na kuingia vitani kwa choko choko za marekani ?
Screenshot_20241120_173733_X.jpg
 
Marekani ushindani huwa hawezi anachofanya akiona unamzidi au unakaribia kumpiga gap anatafuta namna ya kukuangusha unfair

Aliiangusha Japan miaka ya 1980 kupitia Plaza Accord wakati Japan ilipompa moja ya ushindani mkali sana kiteknolojia na kibiashara

Akaifanya Ulaya kuwa vibaraka wake. Miaka hii Ujerumani, France, Italy, Uingereza, Uholanzi wamekuwa mafara tu wanapelekwa pelekwa na Marekani

Good news kwa China ameshindwa
 
Marekani ushindani huwa hawezi anachofanya akiona unamzidi au unakaribia kumpiga gap anatafuta namna ya kukuangusha unfair

Aliiangusha Japan miaka ya 1980 kupitia Plaza Accord wakati Japan ilipompa moja ya ushindani mkali sana kiteknolojia na kibiashara

Akaifanya Ulaya kuwa vibaraka wake. Miaka hii Ujerumani, Italy, Uingereza, Uholanzi wamekuwa mafara tu wanapelekwa pelekwa na Marekani

Good news kwa China ameshindwa
Tusubiri tuone kama ameshindwa kweli au anabuni mbinu mpya au atazidi kuutumia mgogoro wa Taiwan kwa manufaa yake
 
Moja ya kazi ngumu inayomkabili marekani sasa ni kupambana kila awezavyo ili kumdhibiti China.

Hii ni kazi ngumu sana kwa sababu inahusu maeneo mengi yakiwemo

- Ushindani wa kiuchumi, marekani anahitaji kufanya kila namna kudhibiti ukuaji wa uchumi wa kwa miaka mingi ijayo ili isizidi kuwa tishio kubwa kwake.

- Ushindani wa kiteknolojia, dunia inapitia mapinduzi makubwa ya kiteknolojia na katika maeneo hayo wanao onesha kuchukua kwa kasi ni wao marekani akiwa pamoja na washirika wake dhidi ya taifa la China. Marekani akipoteza title hii kwa adui yake China ni hasara kubwa kwake hivyo ana kazi kubwa ya kumfunga China speed governor

Katika maeneo kama haya marekani atakuwa na kazi nzito ya kumdhibiti China. Je, kupitia migogoro/vita ? Kitu ambacho kimekuwa kigumu sana kwa uchina.

China wamekuwa wagumu sana kuingizwa katika vita au hata katika migogoro ya mbali na marekani mara kadhaa amejaribu kufanya hivyo.

Na kupitia vita ndio sehemu ambayo mipango mingi ya nchi inavurugika hii hata kwa kuitazama marekani ushiriki wake wa vita vingi pia umeleta hasara kwake kama taifa kinyume kabisa na kwa mshindani wake.

Marekani anahitaji kuafanya kila awezalo kumdhibiti China katika hayo maeneo makubwa mawili ndiyo yaliyo baba uhai wake kwa sasa na miaka mingi ijayo.

Je, atatumia mbinu gani ? Au ataendelea kuamini kupitia migogoro/vita ndio njia pekee ya kumpoteza mshindani wake China ?

Na Je, nao wachina wataachana na utulivu huu walionao na kuingia vitani kwa choko choko za marekani ?View attachment 3157010
UsA anajipa uongozi usiokuwa na lazima kuishape dunia iende inavyotaka hiyo haiwezekan dunia imebadilika mno kwanzia military gape kati ya nchi moja na nchi nyingine
 
Kwa china hawezi kumzibiti kwa biashara china asilimia kubwa Africa ameshaiteka na china anachokifanya sijui kama marekani anaweza akafanya kama kuhusu biashara mchina anafanya biashara kwa pesa yako uliyonayo hebu tuchukue mfano mdogo hapa kwetu ametusaidia kutuletea pikipiki za bei ya kawaida kwa mtu yoyote anaweza akaninua sasa Amerika hawezi akaleta pikipik hapa tukawa na uwezo wa kununua na mchina anacheza na akili yako nini unachotaka sasa Amerika hajawaza kufanya hayo mchina ametuokoa kwa maisha ya kawaida huwezi ukanunua pikipiki kutoka Amerika bei yake ni kubwa au ukanunua pikipiki kutoka Japan sasa mchina ameshaiteka dunia
 
Marekani ushindani huwa hawezi anachofanya akiona unamzidi au unakaribia kumpiga gap anatafuta namna ya kukuangusha unfair

Aliiangusha Japan miaka ya 1980 kupitia Plaza Accord wakati Japan ilipompa moja ya ushindani mkali sana kiteknolojia na kibiashara

Akaifanya Ulaya kuwa vibaraka wake. Miaka hii Ujerumani, Italy, Uingereza, Uholanzi wamekuwa mafara tu wanapelekwa pelekwa na Marekani

Good news kwa China ameshindwa
nyakati zinabadilika sana...
 
Inasemekana US ya Trump inaondoa Majeshi yake huko Djibouti na kuyahamishia Somaliland.

US alikasirishwa sana na uamuzi wa Djibouti kuwaalika China na kuwapa Base karibu kabisa na US Bases.

Huko Somaliland US atakuwa yeye na Ethiopia tu huenda na Uingereza nayo kujiunga pamoja na US kwenye Mwambao huo.
 
Marekani hakuna viwanda vya kutengeneza lonyalonya au yeboyebo kama hawa wachina, ndiomaana wanatupiga pesa nyingi kutokana na bidhaa zao kuwa kitonga
 
Mtu yuko hapo Kintinku relini ananyea choo cha shimo kisicho hata na paa juu lakini eti anajifanya kujua limit ya uwezo wa Marekani kudil na washindani wake wakati Marekani kama taifa lililoendelea sana duniani lina mipango mingi mikubwa na nyeti ambayo hata wananchi wake tu hawawezi kuelewana.
 
Mtu yuko hapo Kintinku relini ananyea choo cha shimo kisicho hata na paa juu lakini eti anajifanya kujua limit ya uwezo wa Marekani kudil na washindani wake wakati Marekani kama taifa lililoendelea sana duniani lina mipango mingi mikubwa na nyeti ambayo hata wananchi wake tu hawawezi kuelewana.
Taja mipango miwili ya marekani kudeal na China tofauti na nilivyo andika ?
 
Mchina ndo mkombozi wetu Tanzania kwa maana bidhaa zake zinaendana na kipato chetu
 
America ya trump ndio itashuka zaidi maana bwana yule hajui diplomacy ukiangalia kama sisi wa Africa na wa Arab Trump anapenda sana kutuchamba mala hatuna akili ila mchina yeye ni biashara tu
 
Kwa china hawezi kumzibiti kwa biashara china asilimia kubwa Africa ameshaiteka na china anachokifanya sijui kama marekani anaweza akafanya kama kuhusu biashara mchina anafanya biashara kwa pesa yako uliyonayo hebu tuchukue mfano mdogo hapa kwetu ametusaidia kutuletea pikipiki za bei ya kawaida kwa mtu yoyote anaweza akaninua sasa Amerika hawezi akaleta pikipik hapa tukawa na uwezo wa kununua na mchina anacheza na akili yako nini unachotaka sasa Amerika hajawaza kufanya hayo mchina ametuokoa kwa maisha ya kawaida huwezi ukanunua pikipiki kutoka Amerika bei yake ni kubwa au ukanunua pikipiki kutoka Japan sasa mchina ameshaiteka dunia
Marekani biashara hizo za mandazi alishazifanya miaka ya 60. Hafanyi tena hiyo biashara
 
Huwa najiuliza hili swali sijapata majibu.
'Ni teknolojia gani mpya ambayo imeanzia China haipo au haijawahi kuwepo Marekani?'.
Ukitaka teknolojia basi nenda Marekani bali ukitaka anayedili na accessories za teknolojia basi nenda China.
 
Huwa najiuliza hili swali sijapata majibu.
'Ni teknolojia gani mpya ambayo imeanzia China haipo au haijawahi kuwepo Marekani?'.
Ukitaka teknolojia basi nenda Marekani bali ukitaka anayedili na accessories za teknolojia basi nenda China.
Zipo teknolojia zilizoanzia China.
Ila Sasa hivi ni wakati wa innovations,Kwa innovation hakuna taifa linalifikia China.
 
Marekani biashara hizo za mandazi alishazifanya miaka ya 60. Hafanyi tena hiyo biashara
Unaropoka kana kwamba huoni jinsi USA na EU wanavyolalamika kuhusu China!?
Ulifuatilia mzozo wa EV cars jinsi China anavyowaumiza kichwa wazungu!?
Muda mwingine wekeni mahaba jadilini hoja basi.
 
Ili umwangushe china tengeneza bidhaa zs bei chini sana tena ziwe bora sambaza dunia nzima
 
Back
Top Bottom