Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
KAZI NI ILE INAYOKUINGIZIA KIPATO. MAMA AU BABA WA NYUMBANI SIÔ KAZI KWANI HAKUNA KIPATO KINACHOZALISHWA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Amri ya Mungu ya kufanya Kazi. Inahusu kufanya Kazi za uzalishaji Mali, kujipatia kipato ili uweze kuishi.
Yàani Mûngu anapokuambia Fanya Kazi anamaanisha Fanya uzalishaji ili uweze kuishi. Kwani Asiyefanya Kazi Kula na asile.
Amri ya Kazi Ipo Kwa Wanadamu wote. Wakike na wakiume. Kwèñye jamii nyingi hasa zile Ambazo zîpo gizani kûna kasumba mbaya kuwa Mwanaume ndiye anatakiwa kufanya Kazi. Ilhali ukweli na Haki NI kuwa Watu wôte wanalazimishwa kufanya Kazi Bila kujali jinsia zào. Kazi za uzalishaji Mali, mapato.
Kwa nini lazima ufanye Kazi hata kama wewe ni Mwanamke;
1. Wewe ni MTU, ili Kulinda Ûtu wako
Mtu Asiyefanya Kazi z uzalishaji lazima utu wake uathirike. Lazima anyanyasike Kwa sababu atakuwa tegemezi.
Unaposikia Wanawake wananyanyaswa Moja Kwa Moja lazima uelewa ni kwèñye jamii na wale Wanawake wasiofanya Kazi. Huwezi mnyanyasa MTU anayejitegemea.
Hivyo unafanya Kazi ili uheshimike kama MTU.
Asiyefanya Kazi Kwa namna yoyote lazima adharaulike Bila kujali NI Mwanaume au Mwanamke.
2. ILI UMUABUDU MUNGU WAKO.
Kama hufanyi Kazi Huwezi kuwa unaabudu. Mungu anataka Zaka na Sadaka. Na elewa Zaka ni sehemu ya Kumi ya mapato yako siô mapato ya Mumeo. Mapato ya Mtu Mwingine (akiwepo Mumeo) akikupa ukayapeleka Kwa Mungu hayo huchukuliwa kama Sadaka na sio Zaka.
Elewa Mungu anabariki Kazi za mikono yako. Hapa inamaanisha Kazi za uzalishaji wako ili akupe riziki.
Unafanya Kazi ili usiende Kwa Mungu Mikono mitupu.
Kuonyesha kuwa Mungu aliibariki Kazi ya Mikono yako.
Mwanaume naye akienda atatoa Kulingana na alivyobarikiwa.
Kûna MTU atasema Ukiolewa au ûkioa mnakuwa Mwili Mmoja. Siô kwèli.
Kwa Mungu kîla MTU hulipwa yeye kama yeye na siô kimafungu. Kwamba Mungu hawezi kukuadhibu Kwa Makosa ya Mumeo au Mkeo. Pia Mungu hawezi kukubariki Kwa matendo ya Mkeo au Mumeo hiyo haipo.
Kushika Amri za Mungu NI Kwa Mtu mmoja mmoja.
3. ILI KUWA NA HAKI YA KUMILIKI MALI.
Nje ya Urithi na zawadi ambazo utolewa Kwa utashi wa Mtu. Sehemu pekee àmbayo MTU anahaki ya KUMILIKI Mali NI Kwa kufanya Kazi.
Mali yoyote àmbayo hujaifanyia Kazi na kuitolea jasho na haitokani na kipato chako siô Haki yako kisheria.
Kama NI Mali za Wazazi wako hizô siô zako.
Kama NI Mali za Mumeo au Mkeo hizô siô zako linapokuja suala la HAKI.
Zitakuwa zako Kama mwenye Mali Kwa hiyari Yake akaamua kukupatia akiwa yupo hai(zawadi) au akiwa amekufa(Urithi).
Kwèñye Ndoa zinakuwa Mali Zenu Kwa Sababu ya Ndoa ila nje ya Ndoa kîla mmoja atapewa alichochuma. Na hiyo ndîo HAKI.
NI dhulma kutaka KUMILIKI Mali isiyoyako. NI dhulma kama zilivyo dhulma ñyiñgine.
Kûna Amri inasema usitamani Mali ya jirani yako.
Unapotengana na Mkeo au Mumeo Mali zote Ambazo hukuzichuma siô Mali zako NI Mali ya jirani yako. Usizitamani.
Hakuwa jirani Kwa sababu alikuwa Mumeo au Mkeo lakini nje ya Ndoa huyo NI jirani kama walivyojirani Wengine.
Sheria kandamizi, Sheria nyonyaji, Sheria dhulmati zilizotungwa na Watu wasio na uelewa na mambo ya Haki huweza kumpa umiliki wa Mali MTU asiyestahili.
Kwa ujumla MTU anafanya Kazi ili ajitegemee na asipate Laana y kumtegemea MTU Mwingine.
Kwèñye jamii yetu kûna kasumba mbaya kuwa Mwanamke kuwa Mama WA nyumbani NI Kazi Jambo ambalo NI dhana potofu.
Dhana hiyo imeundwa kimakusudi kwa lengo la kukandamiza Haki hasa Kazi za Wanawake kujitegemea na kuishi Maisha halisi kama Nature inavyotaka.
Baadhi ya Wanaume huitumia dhana hiyo kama silaha ya kumuangamiza Mwanamke ili awe tegemezi na kumfanya awe mtumwa milele. Wanaume wanaotaka kuabudiwa kama mîungu. Kwa sababu anayekulea na kukulisha NI kama mungu wako.
Kwa mfano NI jamii àmbayo Wanawake ni tegemezi àmbayo Wanawake huweza kuolewa kimafungu(wake wengi) lakini jamii ya Wanawake wanaojitegemea hiyo NI ngumu.
KUoa Wake wengi NI unyanyasaji Mkubwa ikiwa Itafanywa pasipo hiyari ya Mwanamke husika.
Na Mwanamke tegemezi Hana hiyari Kwa sababu siô Mtu na Hana UTU.
Kupika chàkula chako au kwaajili ya familia yako haipo kwèñye orodha ya Kazi Kwa sababu unajitumikia mwenyewe.
Huwezi kupata kipato Kwa kujitumikia wewe mwenyewe.
Kufanya Kazi maana yake kutumikia Wengine ili wakulipe.
Huwezi kujifulia nguo zako au kumfulia Mtoto wako mdogo alafu ukaiita Kazi ilhali unajitumikia mwenyewe.
Huwezi kujipikia au kusafisha Vyombo au Nyumba unayoishi ukasema unafanya Kazi ya uzalishaji labda úwe na upeo mdogo..
Unaweza kufanya miradi ya familia na ukazalisha kipato Kwa kuwauzia Wengine.
Mfano unafuga Kuku WA familia lakini unauza mayai na Kuku Kwa Watu. Hiyo inaitwa Kazi.
Unalima shamba lako Kisha mazao unauzia Watu Wengine. Unajipatia kipato. Hiyo NI Kazi.
Kusema kuita majukumu ya Nyumbani NI Kazi ni matumizi Mabaya ya msamiati.
Ndîo maana ukikua Hapo kwèñu kama Huna Kazi hata kama unajishughulisha kuosha Vyombo lazima uambiwe utafute Kazi ya kufanya
Yàani Kazi ya kukufanya uishi. KAZI ya kukupa mahitaji yako.
Ndoa siô Kazi. Kuolewa siô KAZI
Kuzaa siô KAZI.
Kulea siô Kazi labda kulea Watoto wasiowako Kwa mkataba WA malipo yàani kuwa Yaya(babysitter) hiyo itaitwa Kazi
Na Huwezi kutaka ulipwe Kwa kujitumikia wewe mwenyewe.
Mfano ati kusafisha nyumba unayoishi au kulea Watoto wako alafu utake kulipwa hiyo siô Kazi.
Kama Huwezi ajiri MTU akulelee Mtoto mumlipe wewe na Mumeo.
Kûna wale wanasema Wanaume wanaotafuta Wanawake wanaofanya Kazi wamebweteka, au wavivu au mario. Wengine wanafika Mbali zaidi kuwaita mashoga.
Lakini hiyo NI mihemko ya Watu weñye upeo mdogo.
Waislam, Wayahudi na Wakristo wanaotumia Biblia na Quran na Talmud hii NI orodha ya Manabii na mitume na watu weñye majina makubwa kukuliko ambao wake zào walikuwa wanafanya Kazi(yaani wazalishaji)
1. Mtume Muhammad
Huyu alimwoa Bi. Khadija, mfanyabiashara. Muhammad alishauri kijana WA kiislam aoe Mwanamke Kwa vigezo vitatu àmbavyo NI Dini yake, Uzuri wake na Mali. Sasa Mwanamke atakuwaje na Mali kama hafanyi Kazi
2. Suleiman
Ñdipo akaandika Mithali 31
3. Isaka aliyemwoa Rebecca aliyekuwa anachunga Mifugo ya Babaake.
4. Yakobo aliyemwoa Raheli na Recho. Yakobo alimkuta Raheli akiwa anachunga Mifugo
5. Musa aliyemwoa Sipora. Sipora alikuwa anachunga
Watu wafanye Kazi
Binti yako kama hutaki kuabudu Watu na unàtaka kumwabudu Mungu kikamilifu lazima ameivya kufanya Kazi uitekeleze.
Mwanaume anayekuzuia usifanye Kazi ya uzalishaji huku akikukwambia ufanye ujitumikie yàani ufanye majukumu ya kifamilia na kuziita NI Kazi ilhali hujui unaingiza kipato kiasi gani. Huyo hafai. Hana Upendo WA kwèli. Hana Haki na NI mlaghai. Anataka uvunje Amri ya kufanya Kazi àmbayo siô Amri tuliyopewa Sisi Wanaume pekee Bali NI Amri ya wôte.
Kûna hoja ya Mwanaume ndiye aliyeumbiwa Kula Kwa jasho.
NI Sahihi lakini hiyo siô hoja ya kumfanya mwanamke asifanye Kazi.
Mwanamke afanye Kazi za uzalishaji Ambazo hazitamfanya atoe jasho(yàani ahangaike kupita kiasi).
Kumbuka Kabla ya anguko, agizo la Mungu lilikuwa Kulima Bustani na Kûitunza, hiyo NI Kazi walipewa lakini Mungu hakuweka laana ya kudanya kazi hizo kwa jasho.
Hivyo ndivyo utakavyoishi Kwa HAKI na kuzifurahia Siku zako zote utakazoishi Hapa Duniani Binti yàngu.
Acha nipumzike sasa.
Ijumaa Kareem, ñawatakia maandalizi mema ya Sabato
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Amri ya Mungu ya kufanya Kazi. Inahusu kufanya Kazi za uzalishaji Mali, kujipatia kipato ili uweze kuishi.
Yàani Mûngu anapokuambia Fanya Kazi anamaanisha Fanya uzalishaji ili uweze kuishi. Kwani Asiyefanya Kazi Kula na asile.
Amri ya Kazi Ipo Kwa Wanadamu wote. Wakike na wakiume. Kwèñye jamii nyingi hasa zile Ambazo zîpo gizani kûna kasumba mbaya kuwa Mwanaume ndiye anatakiwa kufanya Kazi. Ilhali ukweli na Haki NI kuwa Watu wôte wanalazimishwa kufanya Kazi Bila kujali jinsia zào. Kazi za uzalishaji Mali, mapato.
Kwa nini lazima ufanye Kazi hata kama wewe ni Mwanamke;
1. Wewe ni MTU, ili Kulinda Ûtu wako
Mtu Asiyefanya Kazi z uzalishaji lazima utu wake uathirike. Lazima anyanyasike Kwa sababu atakuwa tegemezi.
Unaposikia Wanawake wananyanyaswa Moja Kwa Moja lazima uelewa ni kwèñye jamii na wale Wanawake wasiofanya Kazi. Huwezi mnyanyasa MTU anayejitegemea.
Hivyo unafanya Kazi ili uheshimike kama MTU.
Asiyefanya Kazi Kwa namna yoyote lazima adharaulike Bila kujali NI Mwanaume au Mwanamke.
2. ILI UMUABUDU MUNGU WAKO.
Kama hufanyi Kazi Huwezi kuwa unaabudu. Mungu anataka Zaka na Sadaka. Na elewa Zaka ni sehemu ya Kumi ya mapato yako siô mapato ya Mumeo. Mapato ya Mtu Mwingine (akiwepo Mumeo) akikupa ukayapeleka Kwa Mungu hayo huchukuliwa kama Sadaka na sio Zaka.
Elewa Mungu anabariki Kazi za mikono yako. Hapa inamaanisha Kazi za uzalishaji wako ili akupe riziki.
Unafanya Kazi ili usiende Kwa Mungu Mikono mitupu.
Kuonyesha kuwa Mungu aliibariki Kazi ya Mikono yako.
Mwanaume naye akienda atatoa Kulingana na alivyobarikiwa.
Kûna MTU atasema Ukiolewa au ûkioa mnakuwa Mwili Mmoja. Siô kwèli.
Kwa Mungu kîla MTU hulipwa yeye kama yeye na siô kimafungu. Kwamba Mungu hawezi kukuadhibu Kwa Makosa ya Mumeo au Mkeo. Pia Mungu hawezi kukubariki Kwa matendo ya Mkeo au Mumeo hiyo haipo.
Kushika Amri za Mungu NI Kwa Mtu mmoja mmoja.
3. ILI KUWA NA HAKI YA KUMILIKI MALI.
Nje ya Urithi na zawadi ambazo utolewa Kwa utashi wa Mtu. Sehemu pekee àmbayo MTU anahaki ya KUMILIKI Mali NI Kwa kufanya Kazi.
Mali yoyote àmbayo hujaifanyia Kazi na kuitolea jasho na haitokani na kipato chako siô Haki yako kisheria.
Kama NI Mali za Wazazi wako hizô siô zako.
Kama NI Mali za Mumeo au Mkeo hizô siô zako linapokuja suala la HAKI.
Zitakuwa zako Kama mwenye Mali Kwa hiyari Yake akaamua kukupatia akiwa yupo hai(zawadi) au akiwa amekufa(Urithi).
Kwèñye Ndoa zinakuwa Mali Zenu Kwa Sababu ya Ndoa ila nje ya Ndoa kîla mmoja atapewa alichochuma. Na hiyo ndîo HAKI.
NI dhulma kutaka KUMILIKI Mali isiyoyako. NI dhulma kama zilivyo dhulma ñyiñgine.
Kûna Amri inasema usitamani Mali ya jirani yako.
Unapotengana na Mkeo au Mumeo Mali zote Ambazo hukuzichuma siô Mali zako NI Mali ya jirani yako. Usizitamani.
Hakuwa jirani Kwa sababu alikuwa Mumeo au Mkeo lakini nje ya Ndoa huyo NI jirani kama walivyojirani Wengine.
Sheria kandamizi, Sheria nyonyaji, Sheria dhulmati zilizotungwa na Watu wasio na uelewa na mambo ya Haki huweza kumpa umiliki wa Mali MTU asiyestahili.
Kwa ujumla MTU anafanya Kazi ili ajitegemee na asipate Laana y kumtegemea MTU Mwingine.
Kwèñye jamii yetu kûna kasumba mbaya kuwa Mwanamke kuwa Mama WA nyumbani NI Kazi Jambo ambalo NI dhana potofu.
Dhana hiyo imeundwa kimakusudi kwa lengo la kukandamiza Haki hasa Kazi za Wanawake kujitegemea na kuishi Maisha halisi kama Nature inavyotaka.
Baadhi ya Wanaume huitumia dhana hiyo kama silaha ya kumuangamiza Mwanamke ili awe tegemezi na kumfanya awe mtumwa milele. Wanaume wanaotaka kuabudiwa kama mîungu. Kwa sababu anayekulea na kukulisha NI kama mungu wako.
Kwa mfano NI jamii àmbayo Wanawake ni tegemezi àmbayo Wanawake huweza kuolewa kimafungu(wake wengi) lakini jamii ya Wanawake wanaojitegemea hiyo NI ngumu.
KUoa Wake wengi NI unyanyasaji Mkubwa ikiwa Itafanywa pasipo hiyari ya Mwanamke husika.
Na Mwanamke tegemezi Hana hiyari Kwa sababu siô Mtu na Hana UTU.
Kupika chàkula chako au kwaajili ya familia yako haipo kwèñye orodha ya Kazi Kwa sababu unajitumikia mwenyewe.
Huwezi kupata kipato Kwa kujitumikia wewe mwenyewe.
Kufanya Kazi maana yake kutumikia Wengine ili wakulipe.
Huwezi kujifulia nguo zako au kumfulia Mtoto wako mdogo alafu ukaiita Kazi ilhali unajitumikia mwenyewe.
Huwezi kujipikia au kusafisha Vyombo au Nyumba unayoishi ukasema unafanya Kazi ya uzalishaji labda úwe na upeo mdogo..
Unaweza kufanya miradi ya familia na ukazalisha kipato Kwa kuwauzia Wengine.
Mfano unafuga Kuku WA familia lakini unauza mayai na Kuku Kwa Watu. Hiyo inaitwa Kazi.
Unalima shamba lako Kisha mazao unauzia Watu Wengine. Unajipatia kipato. Hiyo NI Kazi.
Kusema kuita majukumu ya Nyumbani NI Kazi ni matumizi Mabaya ya msamiati.
Ndîo maana ukikua Hapo kwèñu kama Huna Kazi hata kama unajishughulisha kuosha Vyombo lazima uambiwe utafute Kazi ya kufanya
Yàani Kazi ya kukufanya uishi. KAZI ya kukupa mahitaji yako.
Ndoa siô Kazi. Kuolewa siô KAZI
Kuzaa siô KAZI.
Kulea siô Kazi labda kulea Watoto wasiowako Kwa mkataba WA malipo yàani kuwa Yaya(babysitter) hiyo itaitwa Kazi
Na Huwezi kutaka ulipwe Kwa kujitumikia wewe mwenyewe.
Mfano ati kusafisha nyumba unayoishi au kulea Watoto wako alafu utake kulipwa hiyo siô Kazi.
Kama Huwezi ajiri MTU akulelee Mtoto mumlipe wewe na Mumeo.
Kûna wale wanasema Wanaume wanaotafuta Wanawake wanaofanya Kazi wamebweteka, au wavivu au mario. Wengine wanafika Mbali zaidi kuwaita mashoga.
Lakini hiyo NI mihemko ya Watu weñye upeo mdogo.
Waislam, Wayahudi na Wakristo wanaotumia Biblia na Quran na Talmud hii NI orodha ya Manabii na mitume na watu weñye majina makubwa kukuliko ambao wake zào walikuwa wanafanya Kazi(yaani wazalishaji)
1. Mtume Muhammad
Huyu alimwoa Bi. Khadija, mfanyabiashara. Muhammad alishauri kijana WA kiislam aoe Mwanamke Kwa vigezo vitatu àmbavyo NI Dini yake, Uzuri wake na Mali. Sasa Mwanamke atakuwaje na Mali kama hafanyi Kazi
2. Suleiman
Ñdipo akaandika Mithali 31
3. Isaka aliyemwoa Rebecca aliyekuwa anachunga Mifugo ya Babaake.
4. Yakobo aliyemwoa Raheli na Recho. Yakobo alimkuta Raheli akiwa anachunga Mifugo
5. Musa aliyemwoa Sipora. Sipora alikuwa anachunga
Watu wafanye Kazi
Binti yako kama hutaki kuabudu Watu na unàtaka kumwabudu Mungu kikamilifu lazima ameivya kufanya Kazi uitekeleze.
Mwanaume anayekuzuia usifanye Kazi ya uzalishaji huku akikukwambia ufanye ujitumikie yàani ufanye majukumu ya kifamilia na kuziita NI Kazi ilhali hujui unaingiza kipato kiasi gani. Huyo hafai. Hana Upendo WA kwèli. Hana Haki na NI mlaghai. Anataka uvunje Amri ya kufanya Kazi àmbayo siô Amri tuliyopewa Sisi Wanaume pekee Bali NI Amri ya wôte.
Kûna hoja ya Mwanaume ndiye aliyeumbiwa Kula Kwa jasho.
NI Sahihi lakini hiyo siô hoja ya kumfanya mwanamke asifanye Kazi.
Mwanamke afanye Kazi za uzalishaji Ambazo hazitamfanya atoe jasho(yàani ahangaike kupita kiasi).
Kumbuka Kabla ya anguko, agizo la Mungu lilikuwa Kulima Bustani na Kûitunza, hiyo NI Kazi walipewa lakini Mungu hakuweka laana ya kudanya kazi hizo kwa jasho.
Hivyo ndivyo utakavyoishi Kwa HAKI na kuzifurahia Siku zako zote utakazoishi Hapa Duniani Binti yàngu.
Acha nipumzike sasa.
Ijumaa Kareem, ñawatakia maandalizi mema ya Sabato
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam