Kazi nilizowahi zifanya na zikanishinda kwenye utafutaji

Kazi nilizowahi zifanya na zikanishinda kwenye utafutaji

Aisee hizo ndz ngumi
Syo dula mbabe anapigwa alafu
Anasema oh sijajiandaa mara sjui nmepigania njaa tu 😄
Mipasho mingi

Ova
Ifike pahala waandaaji wa haya mapambano wafocus kwenye damu changa mf Said Bwanga, Richard Mtangi nk
 
Sio kila hustle wife ajue eti kisa mnapendana. Kuna misala mingi kama mwanaume unatakiwa usimame mwenyewe tu mradi wao wasilale njaa.

Kusema kila kitu sio uanaume. Binafsi nilipataga msala job wife alijua nipo likizo ndio baadae nikamwambia nimesimamishwa kazi.

Hata baadae nilipotimuliwa alijua ni kwa sababu niliyokua nimemwambia kumbe sababu ni nyingine kabisa ambayo alikuja kuijua kama 4yrs later wakati maisha yalishasonga kivingine.

Alijua baada ya kufungua makabrasha yangu kwenye briefcase alishangaa sana kujua kumbe nilikua na msala mkubwa kiasi kile na niliwezaje kupretend niko normal. Ulikua msala mzito wa kula mvua za kutosha ila niliupangua kivyangu na hadi leo akiniangalia hanimalizi
Upo.sahihi kabisa...simulia kila jambo udharaulike na hizi jamii zetu na aina ya watu tulio nao.
 
Back
Top Bottom