round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Ndio maana hapo zamani watu walihitaji kuishia form 4 unaenda kupiga mzigo, vigezo vya elimu kubwa vinazdi kadri miaka inavyoenda lakini kazi nyingi zinahitaji training miezi 6 tu.
Mwanafunzi wa field yupo diploma anaweza kumpokeza kazi mfanyakazi mwenye mwenye masters, ila akiajiriwa elimu itambana afanye kazi za chini, sio kwamba hawezi kufanya kazi za degee / masters.
Kwenye majeshi hali inaweza kuwa mbaya zaidi tungeona mengi sana kama wangekaguliwa vyeti kipindi cha Magu
Mwanafunzi wa field yupo diploma anaweza kumpokeza kazi mfanyakazi mwenye mwenye masters, ila akiajiriwa elimu itambana afanye kazi za chini, sio kwamba hawezi kufanya kazi za degee / masters.
Kwenye majeshi hali inaweza kuwa mbaya zaidi tungeona mengi sana kama wangekaguliwa vyeti kipindi cha Magu