Uchaguzi 2020 Kazi nzuri sana viongozi wa CHADEMA majimboni, sasa mnashindana kuvunja rekodi na kesho tupo Tarime!

Uchaguzi 2020 Kazi nzuri sana viongozi wa CHADEMA majimboni, sasa mnashindana kuvunja rekodi na kesho tupo Tarime!

Nothig gives me peace and pleasure like ignoring MATAGA's or mauvccm's comments.
 
Yule ni dadako mkubwa! Tuachie sisi wajomba zako! Hata kama hakajaolewa lakini kama watoto. Nilisikia kama kalizaa na Makamu wa Rais mtarajiwa!!

Hahaha! Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama nyie wajomba zangu maana mnafaidii!

Ila hayo mengine uliyodokeza yana ukweli haya mkuu?
 
Ila hayo mengine uliyodokeza yana ukweli haya mkuu?
Ha ha ha haaaa,, unabishana na mjomba wako eeeeh? Hapana kijana hata mimi nilisikia tu ila nikidaiwa ushahidi siwezi kuwa nao. Ndiyo maana nikasema "nasikia"
 
Hivi Esther Matiko anagombea? Yule dada ana mvuto sana, I hope kashkash alizopitia hazijamtisha. Kama hajaolewa, embu tuambiane wakuu.

Fuatilia leo Lissu yuko huko jimboni kwake. Kuhusu kuolewa Mh!
 
Ha ha ha haaaa,, unabishana na mjomba wako eeeeh? Hapana kijana hata mimi nilisikia tu ila nikidaiwa ushahidi siwezi kuwa nao. Ndiyo maana nikasema "nasikia"

Naona Makamu wa Rais amejiongeza. Yaani hata simlaumu!

Amefanya jambo jema. Unajua hawa mabinti ambao wanajielewa waliochagua fungu lililo jema inabidi kuwakamata hasa kabla wale waovu wa upande wa pili hawajawarubuni kwa vyeo, pesa au mbinu zingine.

Siku nikikutana naye nitamwambia jinsi ninavyomzimia.
 
Ha ha ha haaaa,, unabishana na mjomba wako eeeeh? Hapana kijana hata mimi nilisikia tu ila nikidaiwa ushahidi siwezi kuwa nao. Ndiyo maana nikasema "nasikia"

Dah! 🤗🤗🤗🤗

EC0211CF-1077-4D7A-A44A-F980D4A7A017.png
 
Back
Top Bottom