Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wanatakiwa kudhibitiwaChadema wanafanya sifa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatakiwa kudhibitiwaChadema wanafanya sifa sasa.
Yule ni dadako mkubwa! Tuachie sisi wajomba zako! Hata kama hakajaolewa lakini kama watoto. Nilisikia kama kalizaa na Makamu wa Rais mtarajiwa!!Kama hajaolewa, embu tuambiane wakuu.
sio wanafunzi tu hata malori yaliyowaleta tutakuonesha nzi wa kijani nyie, leo kimbunga kiko Musoma, Tarime, Rorya, Serengeti hivi uliuona umati wa Bunda jana?Nioneshe wanafunzi hapa! View attachment 1582071
Salim Mwl ?Yule ni dadako mkubwa! Tuachie sisi wajomba zako! Hata kama hakajaolewa lakini kama watoto. Nilisikia kama kalizaa na Makamu wa Rais mtarajiwa!!
Yule ni dadako mkubwa! Tuachie sisi wajomba zako! Hata kama hakajaolewa lakini kama watoto. Nilisikia kama kalizaa na Makamu wa Rais mtarajiwa!!
Ha ha ha haaaa,, unabishana na mjomba wako eeeeh? Hapana kijana hata mimi nilisikia tu ila nikidaiwa ushahidi siwezi kuwa nao. Ndiyo maana nikasema "nasikia"Ila hayo mengine uliyodokeza yana ukweli haya mkuu?
CCM haijawahi kushinda. Inaiba kura.Mjiandae kuwa wavumilivu 28/10 dhidi ya ushindi wa kimbunga wa ccm
Hata Tulia Ackson anapendeza piaHivi Esther Matiko anagombea? Yule dada ana mvuto sana, I hope kashkash alizopitia hazijamtisha. Kama hajaolewa, embu tuambiane wakuu.
Hakuna kitu wanafunzi na watoto wanapenda kama FIESTA..Nioneshe wanafunzi hapa! View attachment 1582071
Hivi Esther Matiko anagombea? Yule dada ana mvuto sana, I hope kashkash alizopitia hazijamtisha. Kama hajaolewa, embu tuambiane wakuu.
Ushindi wa kimbunga ? Ngoja uje uone surprise mtakayopigwaMjiandae kuwa wavumilivu 28/10 dhidi ya ushindi wa kimbunga wa ccm
Ni mbunge mtarajiwaHivi Esther Matiko anagombea? Yule dada ana mvuto sana, I hope kashkash alizopitia hazijamtisha. Kama hajaolewa, embu tuambiane wakuu.
Ha ha ha haaaa,, unabishana na mjomba wako eeeeh? Hapana kijana hata mimi nilisikia tu ila nikidaiwa ushahidi siwezi kuwa nao. Ndiyo maana nikasema "nasikia"
Ha ha ha haaaa,, unabishana na mjomba wako eeeeh? Hapana kijana hata mimi nilisikia tu ila nikidaiwa ushahidi siwezi kuwa nao. Ndiyo maana nikasema "nasikia"
Kako bomba kwenyewe!! Hata mimi mjomba wako kalikuwa kananiua sana ila nilipomsikia mgombea umakamu ikabidi nirudishe majeshi nyuma!