Point of No Return 19
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 203
- 472
Officne ndio nini?ukiwa unaandika jitahidi utumie Kiswahili fasaha,watu wazima Wana kinyaa na lugha zenu hiziHapa Dar es salaam nikienda kiwanda gani au kampuni gani kuomba kazi nitapata ???
Naombeni connection ya kazi wapendwa
Kazi yeyote,hata hapo officne kwako kama wanahitaji mtu wa usafi ni connect plz,
Sawa MTAKATIFUOfficne ndio nini?ukiwa unaandika jitahidi utumie Kiswahili fasaha,watu wazima Wana kinyaa na lugha zenu hizi
Hahahaha kwamba yeye hakoseiSawa MTAKATIFU
Avae barakashia kabisa hapo atakuwa na uhakika 89%Nenda AZAM, katika kampuni zake kazi njemje..
BadoTayari ushapata
AhsanteHapa Dar es salaam nikienda kiwanda gani au kampuni gani kuomba kazi nitapata ???
Naombeni connection ya kazi wapendwa
Kazi yeyote,hata hapo officne kwako kama wanahitaji mtu wa usafi ni connect plz,